Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Sijaona ulichotetea zaidi majigambo matupu..hizi ndio akili za CCM na misikiti yao.
 
Tatizo ni kwamba watanzani walio wengi hawapendi kusoma vitabu na wakisoma basi wanasoma kikasuku
Sasa hapo ni kwa kiswahili,achilia mbali wanaodanganywa kuwa wakisoma cha kiswahili au kiingereza watapotoka ila kiarabu ndio sahihi...sasa km watafrisi wanashindwa msomaji ataelewaje?Ikiwa mara nyingi watu hufikiria vitu kwa lugha zao za kwanza na ili kupata maana halisi.
 

Unajua hata lugha zinazotumika kuhusu uislam zinakua za ajabu sema Muhammad eti mwamedi. Hiyo ni kutokana na uelewa hebu niambie wewe ukiwa sehemu isiyo na maji utajisafisha vipi ukitoka haja.
Ulitakiwa ujiulize kama kwenye dini yako hakuna mafunzo ya kujitwaharisha na najisi. Mtume kafundisha kila kitu kinachohusu maisha ya jinsi gani mwenye kuamini afuate.
Mtume hajafanya jambo ambalo linadhalilisha na ndio ada ya mitume wote hata kabla Muhammad.
Hawawi sawa wanaojua na wasiojua,
 
Una tatizo kubwa kuliko nilivyodhani. Umesha uhusisha weupe na Uarabu! Dah! Kumbuka, Waarabu walio wengi ni weusi. Fikiri, Sudan ni Waarabu na ni wengi sana na wengi wao ni weusi. Uarabu si rangi.
wewe NYETI bhana uanchosha kwa kukubali kuwa na akili timamu ktk baadhi ya vitu na kuwa Uchi ktk maeneo mengine..sasa kwanini Wakawa na bara Arabia..?na Africa wakawa na Africa?hizo rangi si zimekuwa diluted na ubakaji wa waarabu..waarabu wengi wa leo si waarabu tena kwani ktk enzi yao ya utawala dhalimu na enzi hii ya hela ya mafuta wametumia sana ngono km silaha ...ya vita na mchezo waupendao...wamezaana na wahindi wazungu,waafrica na wengine na si ajabu kuona wakiwa na rangi zinatofautiana..ila haimaanishi ardhi yao inayohalalishwa na identity yao...ni km kujaribu kataa kuwa mchaga aliyelowea makambako kwake kiasili si kilimanjaro....mahali babu zake na wengi walipaita home..wakaweza mila na wakfu wao kuishi pale.
 
Acha wehu..waislam wenyewe ukiwapa karatasi waandike majina yao lazima utakuwa mwamwedi..maamudu, mwamudu...etc.na mimi nimetumia hivyo kwa sababu hata pale Masama hadi kwasadala kituo cha kulelea magaidi wa miaka ijayo..kuna Mwamedi wengi tuu....ndio nakuambia unaandika usichojua....ni km vile nikiandika Mamadou ninapoongelea watu wa west Africa na french speaking group utaanza longolongo zako.Kwako wewe mtume alichofany ahakidhalilishi watu......sasa km hiyo ndio ada basi muhamad hana.Kuna kudhalilisha zaidi ya kumpora Ziadi mke?Kuna kudhalilisha zaidi ya kusema mu Ethion ana kichwa sijui km nini?Kuna kudhalilisha zaidi ya kusema wmwanamke akiwa ktk hedhi ni mgonjwa,kuna kudhalilisha zaiid ya kusema mwanamke ana akili nusu ya mwanaume.....
 

Pumba as usually.
 

Pumba as usually.
 

Nilijua tu lazima utukane. Sasa wehu wa nini hapo elewesha tu acha jazba. Unajua kukimbilia matusi ni kutokujiamini.
Angalia ni kweli kaoa mtalaka wa huyo mtoto wake wa kufikia ila kuna sababu ya hayo, soma. Sasa damu ya hedhi inapotoka unasema ni ugonjwa na wakati kuna mambo mwanamke hafanyi mpaka awe twahara. Ila haya wewe kwa dini yako ni vipi.
Hili linatufundisha jinsi gani hata hapo nyuma enzi za mitume walivyotukanwa kwa kuwa wanasema ukweli.
Sasa wewe tukana tani yako wala hutosikia tusi kwangu. Matusi ni haramu na kumdharau mtu pia sio sawa kimafunzo ya dini.Huenda unaemdharau akawa bora mbele za Mwenyezimungu.
 
una akili ndogo sana..hapo unaongea hofu ya ujinga wako ktk dini na theologia za dini zote au hata general understanding ya Mungu aliye wa kweli Mungu wa Abraham,King David ,Yesu, Na waabuduo wa kweli ktk roho na kweli ..na si wajidanganyao na ahadi za ahera iliyo km nyumba ya makahaba na walevi...hayo matisho kawape wenzio ijumaa kwa sauti ya km unalia ....
 

Kwa hiyo akili kubwa ndio hiyo. Sasa wewe kama huna ktk dini yako ahadi kaa kimya. Ila jua adam alipewa mke wake hawa huko peponi kabla ya kuletwa hapa duniani. Wewe inaonesha huna unachojua maisha baada ya kufa na kuzikwa. Ila tambua hutishwi kwa asie muamini mungu mmoja na siku ya mwisho makazi yake ni motoni.
 

Tukumbushane shule zilizorudishwa kwa wamisionary wakuu
 
Nenda oman mkuu, utakutana na waarab weusi tena wana kipilipili kama wewe, halafu vp kuhusu hawa machotara wa kiarabu na kiswahili waliopo uku? Tafakari usikurupuke


Tena wanatokea sehemu inayoitwa SUR.
 

Lugha ndio inayowaunganisha waislam dunia nzima kwani ipo vile vile ilivyofundishwa na Mtume Moh'd S.A.W haichakachuliwa.

Kwa wanaotembea duniani utafaidi saaana ukienda msikiti wowote huwezi kuwa mgeni kwani Swala inaendeshwa na kutamkwa maneno yale yale na sio vingine. Hivyo shehe wa Buguruni anaweza kabisa kuswalisha msikiti wa Port of spain huko Trinidad au hata Shinjuku kule japan achilia mbali kule Shanghai China au Paris France.

Vipi wewe unasemaje pale Jina ya Yesu kubadilika kutokana na Lugha, Waswahili Yesu, wazungu Jesus, waarabu Isa, je unajua kwa Kifaransa anaitwaje? au Kijapani anaitwaje?

Pole sana

 

Si mtume tu aliyefundisha usaf bali hata mitume wengine waliopita kwani hiyo ilikuwa amri kutoka kwa Muumba. tatizo le wenzetu hawasomi bali wamezoea kusomewa tu baadhwi ya mambo na mengine mengi kuyaacha.

Hebu soma hapa katika Bible
Kutoka 30:17-21

17Kisha BWANA akamwambia Mose, 18"Tengeneza sinia la shaba, lenye kishikilio cha shaba kwa ajili ya kunawia. Liweke kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, kisha weka maji ndani yake. 19Aroni na wanawe watanawa mikono na miguu yao kwa maji yatokayo katika hilo sinia. 20Wakati wo wote wanapoingia katika Hema la Kukutania, watanawa kwa maji ili kwamba wasije wakafa. Pia, wanapokaribia madhabahu ili kuhudumu, kwa kuleta sadaka zilizotolewa kwa BWANA kwa moto, 21watanawa mikono na miguu yao ili kwamba wasije wakafa. Hii itakuwa ni amri ya kudumu kwa ajili ya Aroni na wazao wake kwa vizazi vijavyo."


Na hata ukisome Yahana 13:4-10
Utaona namna yesu alivyowafundisha wanafunzi wake namna ya kutawadhwa.

Tuwape pole wasiosoma wenyewe kusubiri wasomewe.



 
Reactions: SMU

Hovyo story hii kakufundisha nani?
 
Achawehu wewe....mbona mohamad ina matamshi na mandhisi tofauti ...turkey ni mehemet, mamadou, muhamad, mohamed, etc...Then allah atakuwa na kichaa..kumba watu na lugha nyingine za asili yao halafu akaleta Quran kwa kiarabu na kuwakataza wasibadili..cha kushangaza na kukutoa umbea ni kwamba Mfalme wa Saudi aliyefariki alilipa hela nyingi sana al-kitabu itafsiriwe...
 
Reactions: Asm

Wewe nicholas ni -------- hujui hata dini yako. Na kama ungejua ungejiuliza mbona wazungu ndio wameeneza ukristo na yesu hakuwa mzungu.
Allah ameumba makabila tofauti si kwa lengo jingine ila mpate kujuana. Mwenyezimungu ni mkubwa anaweza kila kitu.
Mtume alikuwa mwarabu sasa ulitaka iweje.
Huwezi kuhoji quran bila majibu hata makafiri wenzako kabla walisema mengi
Eti kakataza wasibadili...sasa ulitaka ibadilishwe iwe kama bible. New version or old version. Katika quran tafsiri kwa lugha yako.
Quran itabaki kama ilivyo mpaka siku ya kiama.
 

Ahali yangu vipi bana au ndio zile dalili za Dengue nilizokwambia.

No equal translation. lakin hata kikitafsiriwa hiyo itatumika tu kwa kujua ujumbe uliomo LAKIN HILO HALIWEZI KULIFANYA SWALA IKAENDESHWA KWA KICHAGA AU KINYAKYUSA kama wanavyofanya jirani zenu katika misa zao. SWALA SIKU ZOTE DUNIYA NZIMA ITASWALIWA KWA LUGHA ILE ILE ILIYOFUNDISHWA . Full stop.

Pole sana mkuu

 
unakataa wehu huku unazidi thibitisha....NO EQUAL TRANSLATION NDIO NINI?tunataka right translation...kweli huyo mungu wenu anayo shida kubwa.Sasa km anajua hakitafsiriki,ana hakika gani kuwa raia wa dunia wataweza jifunza kiarabu kwa kiasi cha kuelewa bila kuanza tafsiri kiarabu kwa lugha zao hadi wakijue?Km allah yupo mkaidi hivyo na lugha lake kwanini tena alazimishe watu wasio wa lugha hiyo waingie ktk dini yake? Kwanza kwa akili yako ya njiwa,hujui kiarabu km lugha nyingine zinabadilika na wakati na itafikia mahali hata Arab speaker hawatakuwabaliana na Tafsiri fulafulani, na hivyo wanaofundishwa kuishia kujifunza tfsiri za watu fulani.Its a matter of stupid ,ndio inaongeoza core ya hii religion..hiyo fashio ya kusema kuwa sijui Quran haijawa corrupted ndio iliwasukumia kuamini kutotafsiri ndipo kunaitunza,na kushindwa angalia shida kubwa zaidi ya watu kutoelewa wanahcokifuata.Wenzio wanakwenda ,ndio maana wapo huru sana ktk dini yao...kwa vile hata mtu asiye na uchambuzi mkubwa hajapoteza logic yake ktk kumjua Mungu wa kitabu chake. Unachoongelea hapa ni conflicts kubwa sana ktk uislam..kushindwa tafsiri Quran vyema kwa lugah za mataifa kisingizio eti ni kuitunza,kwani mkiweka copy ya kiarabu na copy ya lugha nyingine kutaifuta original?Sasa mnayo kazi kuwaambia dunia hiyo sabbau ni kubwa kuliko ya kwamba uislam umeletwa kwa waarabu..na hilo ndilo wanalotangaza waarabu wakitaka jilinganisha na Wayahudi.
 
sasa nikiijua ndio itasaidia nini ya kwako ktk uchafu uliojaaa ndani yake?Umejaza ugoro hapa uanoaminishwa huko ktk madrassa yaliyo karibu na choo...ili mukunye na kuchamba instantly..KUNA TOFAUTI YA KUBADILI NA KUTAFSIRI KIMA WEWE.WAISLAM WAPO NYUMA SANA KWA UKILINGANISHA NA JAMII NYINGINE KIELIMU KWA HUU UJINGA.NCHI KM FINLAND IMETAFSIRI VITABU VINGI SANA DUNIANI KWENDA KTK LUGHA YAO KULIKO JUMUIA NZIMA YA KIARABU NA NCHI ZINAZOONGEA KIARABU..NYIE KIMA MMEPATA FAIDA KWA VILE MNAISHI NA MAKAFIRI ,NDIO MAANA MNACHUKULIA FOR GRANTED KUWA KUNA TAFSIRI KADHAA ZINATEMBEA KTK JAMII ZETU KWA KARIBU KILA ENEO LA ELIMU .Kutotafsiri Quran,ingawa zipo tafsiri (sasa mnawadanganya kuwa ya kiarabu ndio sahihi,sijui asiye ongea kiarabu atapata picture vipi) ni kuwafanya waislam wawe wajinga sana kuhusu dini yao na kuishia kuwa kondoo wa kafsra ktk ugaidi.Kila boya anakuambia INASEMA,UKIMWAMBIA WAPI ANAKUAMBIA WASOMI WANASEMA....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…