Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

kule marangu kilema kuna mwislamu mmoja aliamia kule na akawa ni mtu wa kupiga deiwaka, wale marangu walimlia timing kwa miaka karibu saba mpaka siku wakanikiwa kumuwekea sumu kwenye mbege akafa.

sijui sasa kama kuna mwislamu marangu labda huu uamisho wa walimu na kama ni mwalimu atasalimika maana wachaga wanawaheshimu sana mapadre na walimu tu basi.
Marangu eneo la Samanga ni eneo lenye Waislam wengi.... ukoo wa Mongi pia umedominate sehemu hiyo
 
Waislam sehemu yeyote ile wanatofautiana,wapo wale wenye hawana time na dini yao (hawa safi sana hawa) wapo wenye msimamo wa wastani na pia wapo extremists (hawa ndio balaa).
Kwaiyo watu wasipo kuwa na time na Dini yao ww ndio unawaona watu safi? Kwa akili yako unastahili kuamini mungu alining'inizwa msarabani tena akiwa na nguo ya ndani tu! !!!
 
Kwaiyo watu wasipo kuwa na time na Dini yao ww ndio unawaona watu safi? Kwa akili yako unastahili kuamini mungu alining'inizwa msarabani tena akiwa na nguo ya ndani tu! !!!
Kweli huyo ni "mungu" wako. Mungu wetu hatumwamini kwa njia unayoifikiria wewe!
 
Kwaiyo watu wasipo kuwa na time na Dini yao ww ndio unawaona watu safi? Kwa akili yako unastahili kuamini mungu alining'inizwa msarabani tena akiwa na nguo ya ndani tu! !!!
Kuna imani zinaondoa akili vichwani.
 
Write your reply...mada nzuri ila mmeiharibu kwa udini nguruwe ninyi
 
Wakati H.M Stanley anakuja Tanganyika alimkuta Mirambo anapigana na nani!?? ilikuaje akamwita Mirambo The Napoleon of central Africa.!??
alikuwa anapigana na miliki ndogondogo kisha anafanya himaya yake, we jiulize huyo mirambo bunduki na punda alipata wapi? ndio utagundua kuwa alikuwa akiwapa vibali waaarabu wachukue waafrika yoka jamii nyingine wakauzwe utumwa, yani huyo mirambo alihusika vyema kuchajiza utumwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mleta mada hujakosea , waislam wa pale masama ni WATAFUTAJI BALAA, yaani wanaikimbiza hela haswa sio kama wale wa pwani wa kuzunguka kwenye maulidi na bakora mkononi na msuli kiunoni jumatatu mpaka jumapili, kpale kuna kina saba general wamewekeza Arusha maduka makubwa, kuna kina Wulkan Engineering huwezi jua kama ni wa islam labda uwakue saa ya ibada tu, wako na mavazi ya kazi sio msuli kiunoni kutwa..kama kuna atae kerwa samahani ila wale wachaga wa masama ni kwere, na saa ya kuswali wanaswali na sadaka wanatoa kwa wahitaji ila huwakuti wakicheza ba bakora.
 
huyu baadaye mtoto wake atakuja kutuambia tusimseme vibaya osama bin laden.

acha kuishi kwa hisia na kuwa mtumwa wa dini na soma historia na kama wewe ni mvivu wa kusoma tembelea historical site na nenda Zanzibar upewe khabari za hawa waarabu halafu ndio urudi hapa kuwasifu waarabu.

unajuwa ni kwa nini Zanzibar hawataki kumsikia kabisa sultan jemshid? je wewe unavyopenda kuwa mwarabu si ungempa mkeo kabisa?

Wazanzibari hawana tatizo na waarabu na wala Jemshid. Bila ya shaka wewe umeikusudia serekali ya CCM ambayo hata wafuasi imekosa inaishia kuiba kura.
 
mkuu
story yako inafanana na tukio lililowahi tokea kule kwetu mbinga-songea ambako bila shaka yeyote 99.9% ya wenyeji ni wakristo.

naambiwa kuna mwaka mmoja hivi karibuni aliibuka muislamu mmoja toka dar na pesa kibao alizopewa na waarabu ili ausambaze uislamu mwambao wa lake nyasa sambamba na kujenga misikiti.

basi alipo wasili tu,akapokelewa na wenyeji baada ya kueleza lengo lake,aka itisha mhadhara na vijana walihudhuria.wale vijana wakamwabia kama issue ni kupata tu waislamu ili upeleke report kwa waliokutuma,kwanza tupe chetu.

basi jamaa akatoa pesa,kanzu na barakashia kwa wale vijana. na kweli kwa zile wiki mbili ambazo yule msambaza uislamu alizoshinda nao,walijifanya kama wamesilimu.

story ni ndefu,ila mpaka wakati huu,wale vijana wote wamebaki na ukristo wao.hakuna hata mmoja aliye silimu.wana subiri neema itokee aibuke tena muislamu mwingine ili wapige pesa.imekuwa ni kama mradi wa pesa za uchaguzi.hahaha

PUMBA
 
asili ya wakristo Tanzania ni wamisionari na asili ya waislamu Tanzania ni wafanyabiashara wa kiarabu that's it.

hili wala halihitaji degree kulijuwa. wamisionari walijenga makanisa shule na hospital wakati wasrabu walijenga misikiti peke yake afya na elimu haikuwa kipaumbele chao.

results zake ndio zinareflect mpaka leo.
kuna huzi humu unaeleza asili ya hospitali ya muhimbili,mwanzilishi alikua akiitwa sheikh sewa haji.Na mpaka leo kuna wodi inaitwa sewa haji,
lkn pia niliwai kuuliza asili ya wodi nyingine ile ya kibasila pia inafanana na sewa haji hostoria yake,,
 
Back
Top Bottom