Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Hili ni jukwaa la Historia au ni jukwaa la stori za kihistoria?
Historia ni taaluma kama taaluma zingine,sema tu watu hudhani kila mtu anauelewa wa kutosha kutoa fatua.
Mbona sioni marks of historicity kwenye maelezo yenu?
Kama ni injinia,mkulima,mfanyabiashara,mwanasheria au mtu yoyote usiyejua mambo mengi kuhusu hii taaluma ni vema ukawa unacomment kwa kutaka watu wakupe uelewa zaidi kuliko kutoa fatua wakati ina mislead.
 
kuna huzi humu unaeleza asili ya hospitali ya muhimbili,mwanzilishi alikua akiitwa sheikh sewa haji.Na mpaka leo kuna wodi inaitwa sewa haji,
lkn pia niliwai kuuliza asili ya wodi nyingine ile ya kibasila pia inafanana na sewa haji hostoria yake,,
Mwanzilishi wa hispitali ya muhimbili alikuwa tajiri wa kihindi aliyeitwa sewa hajj paroo.ngoja nitafute picha yake nikuwekee.
 
Write your reply...Ukiristo unakuja East Africa mchana kweupe tunauona ...maswali mengine msituulize humu!!
 
huyu baadaye mtoto wake atakuja kutuambia tusimseme vibaya osama bin laden.

acha kuishi kwa hisia na kuwa mtumwa wa dini na soma historia na kama wewe ni mvivu wa kusoma tembelea historical site na nenda Zanzibar upewe khabari za hawa waarabu halafu ndio urudi hapa kuwasifu waarabu.

unajuwa ni kwa nini Zanzibar hawataki kumsikia kabisa sultan jemshid? je wewe unavyopenda kuwa mwarabu si ungempa mkeo kabisa?
huyu baadaye mtoto wake atakuja kutuambia tusimseme vibaya osama bin laden.

acha kuishi kwa hisia na kuwa mtumwa wa dini na soma historia na kama wewe ni mvivu wa kusoma tembelea historical site na nenda Zanzibar upewe khabari za hawa waarabu halafu ndio urudi hapa kuwasifu waarabu.

unajuwa ni kwa nini Zanzibar hawataki kumsikia kabisa sultan jemshid? je wewe unavyopenda kuwa mwarabu si ungempa mkeo kabisa?
Babu usizuwe uongo usituletee propaganda za kina Karume na Nyerere
 
Waarabu hawakuwa wajinga kama watu wengine mnavyolazimisha watu tuamini. walikuja na taratibu mzuri tu za maisha ambazo zilikubalika na watanganyika au wazanzbar. mji wa kilwa ulikuwa na hela yake miaka hiyo kabla hata wamisionar hawajaja. hao wamisionari ndo walokuja kunyonya nchi hii kwa kusafirisha kila kitu kwenda ulaya. Watu msituaminishe et wamisionari walileta neema nchi hii, ni uwongo kabisa kwani hawa ndo waliowavuruga watanganyka. hata nyerere alipopewa package ya uhuru alipewa mashart ya kuulea umisionari na hata pale alipojifanya kutaifisha shule zao ilikuwa kiini macho tu kwa waislam na ndo maana leo tunashuhudia kurudishwa kwa shule za wamisionari. Acheni kuwasema vbaya waarab au uislamu.
Waarabu ni wabaya kabisa Kwanza ndio waanzilishi na kudumisha biashara ya utumwa.halafu kule kwao watumwa walihasiwa ili wasizaliane
 
Hivi Waafrika tumelaaniwa na nani? Watu mapovu yanawatoka kutukuza rangi na imani za watu wengine. Wapo wengine wameteka mabinti wa ndugu zao ambao ni sawa na binti zao kuonyesha utii wao kwa mabwana zao. Afrika bara langu,kwa nini haya yawapate watu wako? Hizi dini za kigeni ni aina ya dawa za kulevya. Nakubaliana na Karl Max ' religion is an opium'

Kuna kisicho cha kigeni Africa? hizo nguo ulizovaa bila ya shaka nazo ni zakigeni achilia mbili mashine unayotumia kupostia humu JF
 
Kwa hiyo Waafrika waliwapenda sana Waarabu kiasi cha kuridhia kufungwa minyororo na kupigwa mijeredi? Ni kitu cha ajabu sana. Kumbuka kuwa aliyeeandika habari za Waafrika kupigana na wazungu ni wazungu hao hao ambao walikujamiaka mingi baada ya Waarabu. Waarabu hawakundika kitu chochote kuhusu udhalimu wao.

Sasa wewe uliujuaje huo udhalim wao?
 
Waarabu hawkuwaelimisha watu kujua haki zao ndo maana hawakupigana nao wao (waafrika) walifikiri ni sawa kuwa chini ya waarabu. Wazungu walijiharibia kusomesha haki za binadamu katika mitaala yao. Ndo maana watu kwa kutumia elimu yamagharibi walianza kudai uhuru.

Ata vibaya hujiskii kwa hizo pumba unazozizungumza ?
 
Matola

This is the white lie that had been built by the missionaries and after the revolution and Union of 1964. And now propagated by the ultra conservetives of CCM Zanzibar and being helped by people like you.

Why the so called historians does not tell you that the first church in Africa was built in Zanzibar on the land at Mbweni and allocated by the Sultan himself. The Anglican Church at Mkunazini is the same story and some of it was leased from a well known Arab family this where the St. Monica hospital and church's school. Why they dont say the truth that even the clock and the bell on the minaret was contributed by the Sultan himself?

They are telling lies to tourist that the cellar below the St. Monica hospital was used to keep slaves to replenish them before put on sale while the hospital itself was built long after the slave trade had been abolished and that cellar was used to cool the medicines ised during the great epidemics of plague and smallpox.

Reference to this statement above is a lady in Adelaide, Australia called Anne Chapel Smithyman the daughter of Mr. Mervin Smythiman the then ADC to the Sultan.

The hate for Jemshid was imposed on the populace by the so called Protectors (The British) because Jamshid did two grave mistakes:
1) Agreeing with ZNP to fight for Independence.

2) Whe wrote a letter to HM the Queen to ask justice for his father's sudden death because he believes tha his father did not die due to diabetes but foul play. His father was against the british hegemony in EA.

For your information during the Lancaster house independence conference it is on the records that ASP asked for a copycat UK style govt and paliamentary system and that Sultan will be the constitutional.monarch and that him and his family will be protected for ever. While ZNP under the influence of Gamal Abdelnasser socialist ideology the way they ousted King Farouk.

Ref. "The Short History of Zanzibar" by Maulid Mshangama the then member of Legco and son in law to the Sultan Khalifa bin Haroub.

Unaweza nisaidiaje vipi naweza kukipata hichi kitabu ? The Short History of Zanzibar" by Maulid Mshangama
 
kama unajua Marangu mtoni kuna jengo moja la mawe kwa upande wa kulia pale,wazee walituambia kuna mwarabu alikuja akajenga urafiki wao wa kunafiki na wananchi wa pale wakampa kiwanja,nia na makusudi kueneza dini,wakamshtukia wakamtoa mbio akatembea mbele jengo lipo mpaka leo,kwi kwi kwiii,
Na Waislam wangefanya kama walivyofanya wazee wenu, ukristo ungekuwa unahadithiwa tu Tanzania.
 
Soma kitabu cha Tip tipp ndo utajua mambo waliyokuwa wakifanya waarabu na mapigano yao na wenyeji, hakuna aliyeleta dini kwa amani pekee
Tuwekee nukuu za hicho kitabu na mwandishi ni nani?
 
Kuna mtu aliwahi kunambia ma Mangi (chifu) wa kichagga vazi lao rasmi lilikuwa ni kanzu na kofia kama Waislam wa mwambao. Ni mpaka sasa?
 
sio kweli,,weka picha hiyo..
IMG_20190518_161831_516.JPG
haya Tomaso chukua hiyo
 
Matola,
uislamu uliutangulia ukiristo humu tz kwa miaka kama 700. Kwa maana hiyo suala la waislamu wa Masama halina tatizo kama vile baadhi ya waarabu walivyojiunga na Mkwawa kupigana na wajerumani, na hilo ndilo jibu kuwa iweje waarabu unaotanguliza kuwa walishika halaiki utumwa hawakuwa na vita na WENYEJI? Badala yake tunakuta kina Mirambo, Mkwawa, Sina nk wanapigana sio na waarabi bali na Wazungu waliojenga Shule na Hospitali? Ina maana Mkwawa hakutaka Mashule? Ina maana wajerumani walimnyonga Mangi Sina kwa kukataa mashule? Mbona wakati wazungu wanafika walikuta mwambao wote unatumia herufi za kiarabu kuwasiliana kiswahili (hadi machifu wa sambaani kina Kimweri)? Hawa wazee walikuwa wanajua kusoma!!!!! na kuandika

Amini kuwa hao "waliovumbua" Mlima Kilimanjaro walielekezwa mlima ulipo na waarabu wa zanzibar kwa vile maeneo haya yalikuwa na miji yao ya biashara kwa zaidi 500 years

Kisha nakuachia swali. Afrika magharibi kulifanyika biashara kubwa sana ya utumwa (kirasmi inaitwa West Africa Slave Trade). Huku Afrika Masharika pia pakawa na biashara kama hiyo (hii inaitwa East Africa ARAB slave trade). Do you have any idea kwa nini ile ya Africa magharibi hamna neno "European" ila hii ya huku kwetu ni muhimu kuwa na neno Arab?

TAFAKARI!!!!!
No big deal. Jibu la swali lako ni kwamba inategemea nani Mwandishi wa Historia. Angekuwa Muarabu ndiyo Mwandishi wa Vitabu vya Historia, basi tungesoma West Africa EUROPEAN Slave Trade na huku kwetu ingekuwa East Africa slave trade. Lakini tatizo Muarabu hana la kusema kwenye vitabu vya historia vinavyotumika mashuleni na vyuo hivi leo.
 
Back
Top Bottom