MCHONGANISHI
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 372
- 364
Marangu eneo la Samanga ni eneo lenye Waislam wengi.... ukoo wa Mongi pia umedominate sehemu hiyokule marangu kilema kuna mwislamu mmoja aliamia kule na akawa ni mtu wa kupiga deiwaka, wale marangu walimlia timing kwa miaka karibu saba mpaka siku wakanikiwa kumuwekea sumu kwenye mbege akafa.
sijui sasa kama kuna mwislamu marangu labda huu uamisho wa walimu na kama ni mwalimu atasalimika maana wachaga wanawaheshimu sana mapadre na walimu tu basi.
Kwaiyo watu wasipo kuwa na time na Dini yao ww ndio unawaona watu safi? Kwa akili yako unastahili kuamini mungu alining'inizwa msarabani tena akiwa na nguo ya ndani tu! !!!Waislam sehemu yeyote ile wanatofautiana,wapo wale wenye hawana time na dini yao (hawa safi sana hawa) wapo wenye msimamo wa wastani na pia wapo extremists (hawa ndio balaa).
Kweli huyo ni "mungu" wako. Mungu wetu hatumwamini kwa njia unayoifikiria wewe!Kwaiyo watu wasipo kuwa na time na Dini yao ww ndio unawaona watu safi? Kwa akili yako unastahili kuamini mungu alining'inizwa msarabani tena akiwa na nguo ya ndani tu! !!!
Kuna imani zinaondoa akili vichwani.Kwaiyo watu wasipo kuwa na time na Dini yao ww ndio unawaona watu safi? Kwa akili yako unastahili kuamini mungu alining'inizwa msarabani tena akiwa na nguo ya ndani tu! !!!
Kwaiyo Yesu sio mungu wako?Kweli huyo ni "mungu" wako. Mungu wetu hatumwamini kwa njia unayoifikiria wewe!
Ni kweli kabisa ukiamini mungu anakufa na kufufuka utakuwa hauna akili kichwani.Kuna imani zinaondoa akili vichwani.
hivi mtu mwenye time na dini yake anafananniaje labda?Waislam sehemu yeyote ile wanatofautiana,wapo wale wenye hawana time na dini yao (hawa safi sana hawa) wapo wenye msimamo wa wastani na pia wapo extremists (hawa ndio balaa).
alikuwa anapigana na miliki ndogondogo kisha anafanya himaya yake, we jiulize huyo mirambo bunduki na punda alipata wapi? ndio utagundua kuwa alikuwa akiwapa vibali waaarabu wachukue waafrika yoka jamii nyingine wakauzwe utumwa, yani huyo mirambo alihusika vyema kuchajiza utumwaWakati H.M Stanley anakuja Tanganyika alimkuta Mirambo anapigana na nani!?? ilikuaje akamwita Mirambo The Napoleon of central Africa.!??
Hapana, Waislamu pale sio wengi kama unavyofikiriaMarangu eneo la Samanga ni eneo lenye Waislam wengi.... ukoo wa Mongi pia umedominate sehemu hiyo
Nashindwa kuelewa kama hawa watu wanaelewa maana ya wingi wanaousema. Waislam Marangu sio wengi. Ni very tiny minority.
Utajiri UPI? Na wanaongoza kuwa masikini wa Mali na akili ni.....Pia ukumbuke anayeongoza kwa utajiri wa africa na anayeongoza tanzania kwa utajiri ni wote ni waislam.
huyu baadaye mtoto wake atakuja kutuambia tusimseme vibaya osama bin laden.
acha kuishi kwa hisia na kuwa mtumwa wa dini na soma historia na kama wewe ni mvivu wa kusoma tembelea historical site na nenda Zanzibar upewe khabari za hawa waarabu halafu ndio urudi hapa kuwasifu waarabu.
unajuwa ni kwa nini Zanzibar hawataki kumsikia kabisa sultan jemshid? je wewe unavyopenda kuwa mwarabu si ungempa mkeo kabisa?
Nimekaa Mudio,nimefundisha mudio Islamic primary school. Japo sikuchimba chimbuko la uislamu kwa pale.ni kweli mkuu, ila hawa jamaa kidogo wanatofautiana na Waislamu wa kanda nyingine.
in term of life aspects..
mkuu
story yako inafanana na tukio lililowahi tokea kule kwetu mbinga-songea ambako bila shaka yeyote 99.9% ya wenyeji ni wakristo.
naambiwa kuna mwaka mmoja hivi karibuni aliibuka muislamu mmoja toka dar na pesa kibao alizopewa na waarabu ili ausambaze uislamu mwambao wa lake nyasa sambamba na kujenga misikiti.
basi alipo wasili tu,akapokelewa na wenyeji baada ya kueleza lengo lake,aka itisha mhadhara na vijana walihudhuria.wale vijana wakamwabia kama issue ni kupata tu waislamu ili upeleke report kwa waliokutuma,kwanza tupe chetu.
basi jamaa akatoa pesa,kanzu na barakashia kwa wale vijana. na kweli kwa zile wiki mbili ambazo yule msambaza uislamu alizoshinda nao,walijifanya kama wamesilimu.
story ni ndefu,ila mpaka wakati huu,wale vijana wote wamebaki na ukristo wao.hakuna hata mmoja aliye silimu.wana subiri neema itokee aibuke tena muislamu mwingine ili wapige pesa.imekuwa ni kama mradi wa pesa za uchaguzi.hahaha
kuna huzi humu unaeleza asili ya hospitali ya muhimbili,mwanzilishi alikua akiitwa sheikh sewa haji.Na mpaka leo kuna wodi inaitwa sewa haji,asili ya wakristo Tanzania ni wamisionari na asili ya waislamu Tanzania ni wafanyabiashara wa kiarabu that's it.
hili wala halihitaji degree kulijuwa. wamisionari walijenga makanisa shule na hospital wakati wasrabu walijenga misikiti peke yake afya na elimu haikuwa kipaumbele chao.
results zake ndio zinareflect mpaka leo.