Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Kwakuwa hapa tunazungumza siasa tuu basi watakuwa waliletwa na ccm na malori yao misimu ya kampeni,unajua tena wenzetu na ccm damdam
 
Halafu walikuwa wanamuuzia nan
 
Kweli kabisa biashara ya utumwa imepotoshwa sana, anayetaka kujua vizuri Hii kitu, ingia u tube type "blacks in Latin America' , au " slave trade" utapata majibu, humo kuna information nyingi sana, au "evidence of slave trade".
 
Vizazi vya watumwa arabuni vipo, tafuta history ujue, ukifika Yemen utaona, ila unatakiwa kujua biashara ya utumwa imefanywa na weupe wote.
Halafu fuatilia Kwa nini Argentina hakuna blacks wakati watumwa walipelekwa wengi kama nchi zingine za south America.

Tujifunze biashara ya utumwa bila kuwa na bias ya dini zetu. Ukielewa utumwa vizuri na kuwaelewa tamaduni za watu na historian zao, haitakusumbua kutambua aspects nyingi za utumwa na ubaguzi ktk dunia Hii.
 
Jumba la kwanza kubwa Afrika Mashariki, limejengwa na Mwarabu, Taa za barabarani zimeanza Zanzibar kabla New York na alofanya ivo mwarabu, Karafuu za Pemba na spices zimeletwa na Mwarabu kutoka Asia. TV ya Rangi imeanza Zanzibar kabla kwenue bara na aliileta Mwarabu. Mwarabu katoka kwao kaifanya Zanzibar kuwa ni makao makuu ya nchi ya waarabu (Oman). Maendeleo yote aloleta mwarabu visiwani halafu anatokea mpumbavu anaejifanya kasoma Historia anakwambia Mwarabu alikuwa anafanya utumwa 😀 Ukimuuliza ushahidi anakuonesha picha za kuchora, za ukweli hanazo! Anakwambie nenda Zanzibar ukapewe habari za mwarabu akifikiria kuwa utazipata mbaya, labda CCM ndio wazungumze vibaya kuhusu mwarabu lakini wazanzibari hawana ubaya na mwarabu in fact wanamshukuru kwa kutia nanga Zanzibar.



Endelea na upumbavu wako!
 
POPOTE AMBAPO KUNA FISIEMU NDIPO UDINI UMESHIKA KASI KWA BIDII...
 
wale mashujaa wa taifa ndio waliokuuzeni utumwani na hata leo bado mwarabu hayuko bado mnauzwa na hamjitambui....
 
Mkuu umemaliza mjadala na hapo ndipo WELEDI UNAPOJITOFAUTISHA NA WENYE KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA!
 
Makamae usitudanganye hakuna mtoto anaezaliwa akiwa muislamu hi ni kwa mujibu wa Quran na muislamu wa Kwanza kusilimu alikuwa mtume Mohamadi akifatiwa na majini so ubatizo ni tofauti na threat uloitoa.
 
Waislam sehemu yeyote ile wanatofautiana,wapo wale wenye hawana time na dini yao (hawa safi sana hawa) wapo wenye msimamo wa wastani na pia wapo extremists (hawa ndio balaa).
Na wale waliorukwa na akili zamaani tangu kuzaliwa kama FaizaFoxy
 
Eeeeh
 
Ni ukweli ulio wazi, walijenga misikiti na makaburi ya wafu wao.

Wallah wabillah
 
Waarabu walikuwa makafiri namba moja wenye ushenzi wa asili....bisha!
 
Hii ndio Elimu ya Madrasa? Yote heri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…