Nakwenda Kolomije
Member
- Sep 15, 2018
- 92
- 122
Mkuu, hatujishushi, Ila kuna kama ka ukweli, hata ukienda USA, Waafrica wa kule ndio wenye maisha Duni kulikoni weupe, acha huko, njoo SA, lingsnisha weupe na wenyejiKwa nini tunapenda sana kujishusha kiasi hicho? Nani alisema uwezo wa kiakili upo kwenye ngozi/rangi/race?
Hapa kuna hoja!Mleta mada umeuliza swali la msingi sana.
Ni kwamba Africa haiendelei kwa sababu watu weusi wanapenda UCHAWI sana, kukuthibitishia ebu tafuta wale vijana walokuwa na Passion mbalimbali shuleni uwaulize kama wametimiza ndoto walizokuwa nazo udogoni, hata tuanzie survey hapa Jf.
UCHAWI ni tatizo la msingi kabla ya umaskini, magonjwa na ujinga, sababu uchawi ndio unaleta vyote hivyo vi3 na nashangaa kwann hakuna anayejishughulisha kutokomeza uchawi.
Kiukweli mkuu ukifikiria ngozi nyeusi unaweza pata presha, just imagine tangu uhuru tunasomesha mainjinia for more than 45 years lakini hatuna kampuni inayoaminika na serikali na kuanza kupewa miradi mikubwa kuitekeleza Kama mainjinia.
Yani hata wataalaam wetu wenyewe hatuwapendi Wala kuwahitaji kuwatumia, uzalendo ni tatizo kuu na sugu Sana kwa nchi zetu, umetoa mfano mzuri wa magari ya pesa nyingi lakini Shule hazina vitabu Wala vyoo.
Tunakopa mabilioni ya fedha kwaajili ya kutengeneza madawati[emoji848] na miti ipo mingi Sana Iringa na njombe, Africa my Africa ni nani aliyekuroga...ukiingia upande wa taaluma malecture ni miungu watu hivyo Elimu kufanywa kuwa ngumu Sana then tutegemee kutoboa kweli?
Mfumo wa upatikanaji wa viongozi upo kimichongo yaani mfano...mkulima au Mwalimu then nikafanya biashara nikapata pesa nikawahonga wajumbe[emoji23] nikapata ubunge Kisha nateuliwa kuwa Waziri wa nishati do you think kwamba nitaleta mageuzi ya nishati nchini?
Yani inshort tunakila wanataaluma Africa lakini hakuna matumizi yao katika kupiga hatua, imagine Dr anafundisha chuo mwaka wa 1O ila anatumia kitabu Cha India kufundisha [emoji119][emoji119][emoji119]. Kiukweli tumewahi Sana kupata Uhuru. Wizi wa rasilimali za umma unafanywa na viongozi wazi wazi na hakuna hatua yoyote, refer Richmond yani inajulikana kabisa wapi zilienda lakini people wapo kitaa wanavimba[emoji23][emoji23] yani Africa siku tukiingia mbinguni tutapita njia yetu ili kula fimbo kwanza maana Kila kitu tunacho lakini umaskini ni mkubwa mnooo.
Daaa ngoja niishie hapa maaana[emoji24]
Jibu ni ndiyo Mkuu, walioweza kukaa nao mbali ndo hao watu weusi wakagundua GPS, CCTV, Taa za barabarani, hata cm ya mezani, gas mask, akina Philip Emeagwali.Hapa kuna hoja!
Je Waafrica walioko Marekani vipi, maana hata wao, licha ya kukaa ulaya, ni watu masikini ukilinganisha na wazungu. Je, na wao ni walozi,?
Una ushahidi juu ya hii kauli yako ?Wewe taabia yako yenyewe ya kucomments kila mahali
[emoji23] na tunavimba kabisaaaMkuu sio mainjinia tu yani hata kwenye mpira wa miguu kocha akiwa mzungu ndo tunaona Safi.
Bongo sisi tunachojua ni unafiki tuTuko tayari kupandishwa kwenye bas na wazungu tukienda kwao, Ila sisi hatuko tayari kupunguza na kuacha uagizaji wa magari ya kifahari yanayokula kodi nyingi za watu wetu
Ukiacha wazungu na wenye asili ya Kiyahudi, tuliobaki ni binadamu tuliotokana na nini?
Mbona siamini nikionacho baada ya kufumbua macho na kuona tofauti kubwa iliyopo kati yetu Waafrica na watu weupe hasa wazungu na wayahudi na wanye asili ya Kitahudi huku Africa
Mahali palipo wazungu na wayahudi, hata kusipokuwepo Rasilimali, pataendelea na maisha yatakuwa mazuri!
Mahali palipo waarabu, hata kama patakuwa na rasilimali nyingi, ila hawataacha kujilipua na kuuwa wengine,
Mahali palipo mwafrica, hata kama patakuwa na rasilimali za kutosha, umasikini hautakwisha, watauza rasilimali zote Kwa wazungu na kuanza kuombaomba Kwa haohao wazungu kama watoto wa Kariakoo
Embu, tuchimbueni historia ili tujue sisi ni watu wa asili gani ili tukijua tukamwombe samahani huyu mzazi wetu wa kwanza!
Waafrica, hawaingii madarakani ili kwenda kujibu haja na umasikini wa watu, ispokuwa wanataka wawe viongozi ili wao waondokane na umasikini! Kinyume kabisa na wenzetu wenye ngozi nyeupe!
Tunamatatizo gani sisi?
Tukienda Kwa wazungu, tuko tayari watufanyie watakavyo na tutatii bila shida, lakini ole wake tukirudi kwenye nchi zetu, hatuko tayari kusikiliza na kuzifanyia kazi kero za watu tunaowaongoza