Heaven kama heaven
JF-Expert Member
- Nov 27, 2021
- 453
- 788
Ipo yenye 15 ndugu.Tanzania hii hii,tena unaweza idharau hiyo benki lkn ndio hivyo.Hakuna bank yenye rate 13%, uliza tena vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo yenye 15 ndugu.Tanzania hii hii,tena unaweza idharau hiyo benki lkn ndio hivyo.Hakuna bank yenye rate 13%, uliza tena vizuri
Ipi mkuuIpo yenye 15 ndugu.Tanzania hii hii,tena unaweza idharau hiyo benki lkn ndio hivyo.
Hizo benki ndogondogo pia inabidi kuwa nazo makini, hazikawii kupigwa rungu na BOTIpo yenye 15 ndugu.Tanzania hii hii,tena unaweza idharau hiyo benki lkn ndio hivyo.
Covenant Bank ni mfano Mzuri sanaaaHizo benki ndogondogo pia inabidi kuwa nazo makini, hazikawii kupigwa rungu na BOT
5.6/10×100%=56%
Bank gani hio ilikupa interest ya 56% per annum?
Ukiwasoma maoni yao wanabishana tu,hawaeleweki.Hizi Habari za Pesa Umakini wa Hali ya Juu Unahitajika, Kuingizwa King ni Muda wotewote,,
Akili za Kuambiwa changanya na Zakwako
Kumbuka hakuna kitu Cha Bure Wala Pesa za Bure.
Keep your money rolling, in a few months unaweza kuikuza mara mbili ya hio kuliko kwenda kuzika kwa rate ya 13% wakat banker anaikodisha/ikopesha kwa minimum rate ya 24% na pia ukumbuke kuna inflation ya rate 7% per month.Wadau..katika kupambana na 45 Million sasakunabenk imeniahidi kuwa nawezaweka fixed kwa 13%kwa annum.Sasa najiuliza sijui niweke huku au UTT ambapo naambiwa ni pazuri ingawa sijapata ushahidi wa njisi palikopazuri kwa hali ya sasa.Je kwa wale mliowekeza UTT..na kwa kulinganisha na hii fixed wapi unanishauri kawa mazingira ya sasa
Hii keep ur money rolling ni rahisi kuitaja kwa mdomonsasa ingia field uoneKeep your money rolling, in a few months unaweza kuikuza mara mbili ya hio kuliko kwenda kuzika kwa rate ya 13% wakat banker anaikodisha kwa minimum rate ya 24% na pia ukumbuke kuna inflation ya rate 7% per month.
Hivi mkuu Kila mtu akiwa Na financial literacy (tuseme ifundishwe sekondar) nchi itaendelea??Mkuu wabongo wengi wanahitaji shule ya Financial Literacy
Sina maana hiyo unayofikiria wewe, Its all about basic financila skills ambayo kwa ujumla wake ina vitu vingi sana ndani yake, kama vile budgeting, borrowing and lending, uelewa wa tofauti kati ya asset na liabilities, personal finances etc. Naturally hatuwezi wote kuwa wawekezaji ila u apokuwa na jamii yenye watu wengi wenye uelewa angalau basics tu za finances inasaidia sana. Mfano watumishi wananiimgiza kwenye mikopo ya kinyonyaji bila hata ya uelewa wa namna gani mikopo hiyo inavyofanya kazi.Hivi mkuu Kila mtu akiwa Na financial literacy (tuseme ifundishwe sekondar) nchi itaendelea??
Sio kwamba ili utusue Kwa Kila ujuzi Huo unahitaji wajinga wengi watakaoveti upande tofauti?
Let's say wao wakiuza wewe unanunua Na wakinunua unawauzia Kwa faida kubwa??
Kila mtu akiwa Na akili ya finance Nani atampiga mwenzake?
Kila mtu akiweka bonds,UTT au fixed sio kwamba Hizo institution zitapazimika kupunguza rates??
Na pia elewa Dunia ya sasa uwekezaji upo wa aina nyingi mno, UTT ni punje katika gunia la mchele.Hivi mkuu Kila mtu akiwa Na financial literacy (tuseme ifundishwe sekondar) nchi itaendelea??
Sio kwamba ili utusue Kwa Kila ujuzi Huo unahitaji wajinga wengi watakaoveti upande tofauti?
Let's say wao wakiuza wewe unanunua Na wakinunua unawauzia Kwa faida kubwa??
Kila mtu akiwa Na akili ya finance Nani atampiga mwenzake?
Kila mtu akiweka bonds,UTT au fixed sio kwamba Hizo institution zitapazimika kupunguza rates??
Na ukumbuke pia hio 13% Ni free risk investment,hebu tupe risk(%) ya huko anakoweza kuinvest in few months na kuikuza hio pesa Mara 2.Keep your money rolling, in a few months unaweza kuikuza mara mbili ya hio kuliko kwenda kuzika kwa rate ya 13% wakat banker anaikodisha kwa minimum rate ya 24% na pia ukumbuke kuna inflation ya rate 7% per month.
Hivi BOT wanauza Hisa au Bonds(Hati fungani)???
Do your own research brother kabla yakuanz
Hao Nmb zilkuwa ni bond au hisa?, na kwenye ishu ya bond ukishapewa risiti ya malipo , certificate na binding agreement mtu hapewi?mwenye kuelewa naomba msaadHata juzi NMB walikuwa na program ya uwekezaji hisa kwa faida ya 8.5%, bado hawaifikii UTT ambayo faida yake unaweza kuendelea kuiwekeza na ikaendelea kukupa faida
Hiyo benki inapataje faida wakati 'discount rate' ya BoT ni 9% au wamebadili hii rate hivi majuzi?13 % kwa fixed ni rate nzuri sana kwa zama za sasa.
Tunaomba jina la bank hiyo ndugu
Nilishatoa tahadhari humu, kuwa muwe mnazipa hadhi yake ID zilizoingia miaka ya kati ya 2009-2006, wakati mpaka sasa wana post chache jukwaani!! Ona sasa mleta mada kapigwa ngwara baada ya kuachiwa 'tanganyika jeki' na ID ya jamii hiyo! H ah hah aaaaa!Bora umefukua makaburi maana kuna watu humu ni wapenda sifa hata kama wanalala njaa..
Je wanakata 10% taxi kwa gawio?Sio rahisi kujua maana zinaendana na hali ya soko na uchumi, ila kwa mwaka huu imekuwa ikitoa kama 1.15 pc kwa mwezi, ukipiga hesabu inaweza kufika around 14pc