Asilimia 60 ya maafa ya mafuriko Dar es Salaam yanatokana na uzembe wa serikali, Raisi Samia akubali ukweli huu

Asilimia 60 ya maafa ya mafuriko Dar es Salaam yanatokana na uzembe wa serikali, Raisi Samia akubali ukweli huu

Ulisikia kauli ya mkuu wa mkoa dar
Kuhusu watu wa mabondeni [emoji1]

Ova
Inabidi uwe na akili ya mvuta bangu kumwelewa huyo jamaa! Na kwa sababu yeye ameonwa anafaa kwa hiyo kazi, sielewi kwa nini bangi haijahalalishwa hadi leo!
 
Usidhani huko kusifiwa kwa mambo madogodogo ni bahati mbaya, huko ndiko anakostahili kuwepo, na ndio kunaendana na kiwango chake!
Kama mna kampuni ya ushauri wa haya masuala, mjaribu kuiingia serikali na mchanganuo wenu, kama watakuwa tayari kuwasikiliza na kufanyia kazi hizi kadhia.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Kuna mawazo ya maana sana huko nje, lakini tumefikia mahali ambapo hakuna kinachofanyika bila kuwaahidi 30%
 
Wahame waende wapi mkuu!! Viela vyenyewe vya kudunduliza, huwezi kuhama wakati huna pa kwenda, wakati mwingine hela ya msosi tu shida! Tuombe sana Mungu atuepushe na haya majanga kusema kweli [emoji1431][emoji1431]
Ni kwa kujua hili ndio tunasema serikali lazima iwajengee kablaya kuwahamisha. Huwezi kumhamisha mtu aondoke ghafla wakati hiyo nyumba kaijenga kwa miaka 10 na wewe unamwangalia tu!
 
Ni kwa kujua hili ndio tunasema serikali lazima iwajengee kablaya kuwahamisha. Huwezi kumhamisha mtu aondoke ghafla wakati hiyo nyumba kaijenga kwa miaka 10 na wewe unamwangalia tu!
Kama hawataki kuhama basi ngojeni muone,

simple.
 
New York (Marekani)
images (9).jpeg



Beijing (China)
images (10).jpeg


London (Uingereza)
images (11).jpeg


Berlin (Ujerumani)
images (12).jpeg


Dubai (UAE)
images (13).jpeg



images (16).jpeg


Huwezi kupambana na nature
 

Attachments

  • images (8).jpeg
    images (8).jpeg
    66.2 KB · Views: 5
  • images (9).jpeg
    images (9).jpeg
    26.5 KB · Views: 5
Back
Top Bottom