Usidhani huko kusifiwa kwa mambo madogodogo ni bahati mbaya, huko ndiko anakostahili kuwepo, na ndio kunaendana na kiwango chake!
Kama mna kampuni ya ushauri wa haya masuala, mjaribu kuiingia serikali na mchanganuo wenu, kama watakuwa tayari kuwasikiliza na kufanyia kazi hizi kadhia.
Sent from my moto g 5G (2022) using
JamiiForums mobile app