X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Hooo....samahani....bidada...ila kosa langu...nini hapo...?We samawanii samawani sana tena nitake radhi kwanza ndiyo mengine yaendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hooo....samahani....bidada...ila kosa langu...nini hapo...?We samawanii samawani sana tena nitake radhi kwanza ndiyo mengine yaendelee
ubashite umefikaje sasa shit .... mbona simpo way tu kwamba dar ni jiji kwingine ni mikoani tu....
umegonga penyeweNa 48% kati ya hiyo 65% ni bavicha, sasa wao wanadhani jf ndo Tz nzima!
Watu wa Dar katika ubora waoWewe umetumwa na TISS au? kwanini unataka kujuwa wanajf wanakaa wapi, wewe umetumwa hiyo hoja ni ya kinafiki kwa sababu kujuwa tunakaa wapi haisaidii, sana si kwa maana nzuri, you want members to provoke whereabout their stay so you start zerodown to locate the living area, hatutaki hatutaki, kamwambie Magu hutupati ng'oooo
JF rahaUlitaka nijiite cha usiku , unaangalia jina unaangalia madini nayotema , shwaini mkubwa wewe
Ndo maana uswahili na unafki na ukuda mwingiNimefanya kautafiti kangu ka muda mrefu kidogo hatimaye nimegundua kuwa 65% ya wana jf wanakaa dar.
umeeleweka boySawa ni jiji ila sio jiji pekee Tanzania.. BTW Kwenye mikoa yote 30+ sijawahi kusikia mtu akisema Tanzania ina mikoa 30 na jiji la Dar..ninachojua mimi Tanzania ina mikoa bara na visiwani...Dar ikiwepo..
Over!
chediiiiiiiiiiOhoooo!!! Washindaze?
unatokea mwanga ipi usangi, ugweno au wapi?MPARE kutoka mkoa wa Kilimanjaro, wilaya ya Mwanga
Nilishaona post yako moja kuwa uko eneo la Mwaloni kama sikosei...Mie niko hapa Mwanza mjini, karibu
Haswaaaa, mama lishe au mama ntilie wa uhakika, vyakula vitamu, msafi, vingi na venye ubora karibu sana silascNilishaona post yako moja kuwa uko eneo la Mwaloni kama sikosei...
Nipe direction nije pata samaki mchemsho [emoji1]Haswaaaa, mama lishe au mama ntilie wa uhakika, vyakula vitamu, msafi, vingi na venye ubora karibu sana silasc
Wewe uko wapi ili nianze kukupa huo mwelekeo kuanzia hapo ulipo hadi kufika kwenye banda langu!!Nipe direction nije pata samaki mchemsho [emoji1]