Asilimia 65 ya wana JF wanakaa dar

ubashite umefikaje sasa shit .... mbona simpo way tu kwamba dar ni jiji kwingine ni mikoani tu....

Sawa ni jiji ila sio jiji pekee Tanzania.. BTW Kwenye mikoa yote 30+ sijawahi kusikia mtu akisema Tanzania ina mikoa 30 na jiji la Dar..ninachojua mimi Tanzania ina mikoa bara na visiwani...Dar ikiwepo..
Over!
 
Watu wa Dar katika ubora wao
 
Sawa ni jiji ila sio jiji pekee Tanzania.. BTW Kwenye mikoa yote 30+ sijawahi kusikia mtu akisema Tanzania ina mikoa 30 na jiji la Dar..ninachojua mimi Tanzania ina mikoa bara na visiwani...Dar ikiwepo..
Over!
umeeleweka boy
 
Utafiti wako fake, watu daa wanakuja kwa msimu na kwa kazi maalum,
Mm. Ni member tokea singida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…