Asilimia 65 ya wana JF wanakaa dar

Asilimia 65 ya wana JF wanakaa dar

Siyo bure wewe utakuwa umetumwa kujua tulipo ili muendeze utekaji wenu. Koromee wee
 
Tuanze na Mimi , Mimi sio wa dar nipo GEITA kama na wewe upo mkoani jitokeze ili tuone kweli kama wapo wengi kuliko sisi, tafadhali usione aibu hata kama upo koromije we sema tu
Kwa hili jina lako tu huwezi kuwa wa dar
 
Tuanze na Mimi , Mimi sio wa dar nipo GEITA kama na wewe upo mkoani jitokeze ili tuone kweli kama wapo wengi kuliko sisi, tafadhali usione aibu hata kama upo koromije we sema tu
Ulijiunga jf ukiwa dar, hivyo wewe ni wa dar
 
Mimi niko Nsukamahela katikati kabisa mwa Tanzania
Sio Nsukamahela jamaa,ni suka mahela.
Manyoni hio.
Pale juu mlimani kuna mnara flani hivi.
Sukamahela-solya-mhalala-kwa ridhiwan pale sheli-manyoni iyo.
 
Back
Top Bottom