Wote wana majumba na magari, kasoro mimi[emoji3]
🤣😂Wachache Tunatumia Majina Yetu Halisi.
Mkuu comment za hivi uwe unaandika mchana ona niimecheka mpaka baba mwenye nyumba kaamka😀Wachache Tunatumia Majina Yetu Halisi.
Swala ndiyo ipoje au ni ile BMW yako?😀Nikuazime Baskeli Yangu Ya Swala Au Phonex?
Si tumekubaliana wote humu wana majumba baba mwenye nyumba tena mkuu?😀 (joke)Mkuu comment za hivi uwe unaandika mchana ona niimecheka mpaka baba mwenye nyumba kaamka😀
😀😀Zile asilimia 10 zilizobaki na mimi ndo nipo humo sina nyumba badoSi tumekubaliana wote humu wana majumba baba mwenye nyumba tena mkuu?😀 (joke)
Mkuu comment za hivi uwe unaandika mchana ona niimecheka mpaka baba mwenye nyumba kaamka[emoji3]