Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Yeah!Kumbe basi uko safe labda watu wako wakaribu ndo inaweza kutokea wakakufahamu
Watu wangu wa karibu wanajua kama niko Jf, ila hawaijui Id yanguğŸ¤
Nami napenda ibaki hivo hivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah!Kumbe basi uko safe labda watu wako wakaribu ndo inaweza kutokea wakakufahamu
[emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli, mbona had uzi ulianzishwa, au hukuona?Ikija list ya wanaongoza kubadili profile picture ntashangaa kama usipokuwa wakwanza[emoji28]
Hayo maisha sijafikia hata robo😀😀 nipo na nanii yangu tu sina kingine nnachomiliki😀😀Wew mbona una magari, una hotel pia wewe nakumbuka juzi ulikuja kudeposit bank milion100 ukisindikizwa na walinzi[emoji28], nasikia saiv upo likizo marekan,[emoji28][emoji28]
JF kila mtu tajiri anaendesha gari kali cc3000+ european models, kila mtu kaoa/kaolewa anasomesha watoto English medium, kila mtu kasoma masters UDSM+USA, kila mtu anaishi dasilamu, alafu kila mtu ana aifoni fiftini[emoji28].
Mimi sipo ktk hayo makundi hata ID hii tu moja inanishinda ku-Run
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hazizidi dkk 7.Sikuona kumbe sio mm tu nileye notice kitu hicho, nikuulize unatumia dk ngapi ukiwa kwenye kioo
We mdada dhambi mbaya, mbona mi jobless pro max 😃Wote wana majumba na magari, kasoro mimi😀
Kuhusu mimi uliyoyataja yote yapo sawa isipokuwa namba 2[emoji23][emoji23][emoji23]1. Member wengi wa JF wanamiliki ID zaidi ya moja
2. Member wengi wa JF walianza kuwa visitor kabla ya kujiunga
3. Member wengi wa JF hupenda kushinda jukwaa la siasa, jukwaa la mapenzi na mahusiana na jukwaa la michezo
4. Member wengi wa JF hawapendi kujitangaza nje ya JF
5. Member wengi wa JF washawahi kudanganya juu ya jambo au uhalisia fulani kuhusu yeye.
Unaweza kuongezea na wewe...
Mimi jf nafungua nikiwa chumbani tuNo. 4
Mpaka umpate member wa Jf anaechat hadharani, basi utakuwa na bahati.
Sijui tunajifuchaga wapi
Mimi ndo nina mpango wa kuondoka nyumbani[emoji3][emoji3]Zile asilimia 10 zilizobaki na mimi ndo nipo humo sina nyumba bado
[emoji23][emoji23]Haka kajina huwa kanafariji sanaHumu wote wakuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hiyo office ni ya kufanyia kazi ipi? Ama kuchezea magemu? Kweli hapa hatuna mwana JF
Kila la kheri me bado sanaaMimi ndo nina mpango wa kuondoka nyumbani
Chumba cha kulala Self contained kabisaa😃[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hiyo office ni ya kufanyia kazi ipi? Ama kuchezea magemu? Kweli hapa hatuna mwana JF
...Jokes...
Vipi kuhusu wewe?member wengi humu wanataraji,kuishi pema,hata baada ya maisha kwani ni wakweli sana na wachapa kazi kwa ajili ya taifa lao,mimi sijui aliye mwongo humu labda mmoja tu wa jukwaa la siasa/sii hasaa🤣1. Member wengi wa JF wanamiliki ID zaidi ya moja
2. Member wengi wa JF walianza kuwa visitor kabla ya kujiunga
3. Member wengi wa JF hupenda kushinda jukwaa la siasa, jukwaa la mapenzi na mahusiana na jukwaa la michezo
4. Member wengi wa JF hawapendi kujitangaza nje ya JF
5. Member wengi wa JF washawahi kudanganya juu ya jambo au uhalisia fulani kuhusu yeye.
Unaweza kuongezea na wewe...
5 mie hapana1. Member wengi wa JF wanamiliki ID zaidi ya moja
2. Member wengi wa JF walianza kuwa visitor kabla ya kujiunga
3. Member wengi wa JF hupenda kushinda jukwaa la siasa, jukwaa la mapenzi na mahusiana na jukwaa la michezo
4. Member wengi wa JF hawapendi kujitangaza nje ya JF
5. Member wengi wa JF washawahi kudanganya juu ya jambo au uhalisia fulani kuhusu yeye.
Unaweza kuongezea na wewe...
...ukitoka nje...unakuwa visiterMimi jf nafungua nikiwa chumbani tu