Asilimia 80-90 Kuhusu Member wa JF

Asilimia 80-90 Kuhusu Member wa JF

1. Member wengi wa JF wanamiliki ID zaidi ya moja
2. Member wengi wa JF walianza kuwa visitor kabla ya kujiunga
3. Member wengi wa JF hupenda kushinda jukwaa la siasa, jukwaa la mapenzi na mahusiana na jukwaa la michezo
4. Member wengi wa JF hawapendi kujitangaza nje ya JF
5. Member wengi wa JF washawahi kudanganya juu ya jambo au uhalisia fulani kuhusu yeye.

Unaweza kuongezea na wewe...
Mkuu ww id yako nyingine ni ipi?
Ukiachana na hii..
 
Ghorofa gani korido kama uchochoro🤣🤣🤣
😂😂😂😂
img_2_1706524847559.jpg
img_1_1706524837255.jpg
 
All in all
du Kuna maisha magumu na misoto ila thanks Lord we still alive & breathing...

Niliuza smartphone miaka kumi iliyo pita ikawa issue kununua mpyaa 😊😊 so ukiona mtu yumo humu ana bang!! Usimchukulie powaa mzee...

Smartphone+bando na other factors kama time +majukumu watu wanajitoa Kwa kweli..

Kila lakheli Jf members
 
1. Member wengi wa JF wanamiliki ID zaidi ya moja
2. Member wengi wa JF walianza kuwa visitor kabla ya kujiunga
3. Member wengi wa JF hupenda kushinda jukwaa la siasa, jukwaa la mapenzi na mahusiana na jukwaa la michezo
4. Member wengi wa JF hawapendi kujitangaza nje ya JF
5. Member wengi wa JF washawahi kudanganya juu ya jambo au uhalisia fulani kuhusu yeye.

Unaweza kuongezea na wewe...
Wengi ni introverts nje ya hapa JF ni wapole kama pono.
 
1. Member wengi wa JF wanamiliki ID zaidi ya moja
2. Member wengi wa JF walianza kuwa visitor kabla ya kujiunga
3. Member wengi wa JF hupenda kushinda jukwaa la siasa, jukwaa la mapenzi na mahusiana na jukwaa la michezo
4. Member wengi wa JF hawapendi kujitangaza nje ya JF
5. Member wengi wa JF washawahi kudanganya juu ya jambo au uhalisia fulani kuhusu yeye.

Unaweza kuongezea na wewe...

1. Nina ID moja tu

2. Nilikuwa natembelea Jambo Forums kusikiliza ngoma za zilipendwa na mizoki ya kibongo wakati wa upweke wa home huko ughaibuni, mwishoni nikawa member

3. Jukwaa la Siasa ndio linaongoza kuwa na wadau wenye akili finyu, wanawaza CCM na Chadema tu muda wote na kutoleana lugha za kejeli, ni nadra kukutana na kauli mbovu mbovu jukwaa la tech, intelligence, biashara na uchumi

4. Maisha ya JF ni ya JF na nje ya JF kuna maisha mengine, hapa ni kama big brother house hivi...

5. As long as tunatumia ID ambazo sio halisi, huo ni uongo nambari moja isipokuwa kwa wale ambao ni verified...
 
Back
Top Bottom