Asilimia 82.5 ya pesa taslimu iliyopo katika mzunguko ni noti ya shilingi 10000

Asilimia 82.5 ya pesa taslimu iliyopo katika mzunguko ni noti ya shilingi 10000

Hiyo ni dalili ya uchumi mbovu.
Uchumi mbovu pesa haina samani, kuna nilimpeleka kutoa pesa ATM alikuwa anataka kutoa Dollar elf mbili sasa kwenye ATM haitoi dollar ikabidi tutoe kwa shilingi sasa tumetoa pesa yule mgeni akawa anashangaa anatoa pesa nyingi sana, uku kwo hiyo dollar elf mbili unatoa noti chache sana

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Ukitaka kujua ina thamani njoo nayo kwetu uswahilini.
Nafikiri hili wala sio la ajabu, noti za 10k tangu zamani ndio zipo nyingi kwenye mzunguko sababu miamala mikubwa kwenye uchumi yote inafanyika hela zikiwa kwenye mafungu ya 10ks

Mfano mtu akienda kununua kitu cha laki, milioni, milioni 10, 50, 100 n.k hawezi kukupa noti za 2000s au buku

Benki ukienda kutoa hela tangu kitambo ni 10ks, mara chache sana utapata 5ks
 
Uchumi mbovu pesa haina samani, kuna nilimpeleka kutoa pesa ATM alikuwa anataka kutoa Dollar elf mbili sasa kwenye ATM haitoi dollar ikabidi tutoe kwa shilingi sasa tumetoa pesa yule mgeni akawa anashangaa anatoa pesa nyingi sana, uku kwo hiyo dollar elf mbili unatoa noti chache sana

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hata Marekani dola 100 ndio zipo nyingi kuliko 5s, 10s
Sababu transactions zote kubwa zinafanyika kwa 100s,
Hata Kenya noti za 1000 ndio zipo nyingi kuliko za 50, 100 na 200
Hakuna cha ajabu hapo
 
Uchumi mbovu au mzuri? Maana wananchi wengi wana hela, vipato vya wananchi wengi ni vikubwa
HAHAHA Ulisoma shule gani mkuu? Noti kubwa ku dominate kwenye mzunguko wa fedha ni ishara ya kuwa na kiwango kikubwa cha mfumko wa bei ( high inflation rate).

Hii hali hupelekea kuchapishwa kwa noti zenye thamani kubwa zaidi mfano noti ya 20,000/= nk.

Uimara wa sarafu ni pale sarafu zenye thamani ya chini zinapokuwa na asilimia kubwa kwenye mzunguko.

Zimbabwe iliingia kwenye mfumko uliopelekea kuchapishwa noti mpaka ya 1,000,000/=

Kununua mkate ilibidi kuwa na noti nyingi ndipo thamani ya mkate uipate. mwishowe sarafu yao ikaanguka na wakaamua kutumia us dollar.
 
Bora waweke noti ya laki moja, maana huu uchumi unaenda kupaa kama zimbabwe........msimbazi haina thamani tena.
 
HAHAHA Ulisoma shule gani mkuu? Noti kubwa ku dominate kwenye mzunguko wa fedha ni ishara ya kuwa na kiwango kikubwa cha mfumko wa bei ( high inflation rate).

Hii hali hupelekea kuchapishwa kwa noti zenye thamani kubwa zaidi mfano noti ya 20,000/= nk.

Uimara wa sarafu ni pale sarafu zenye thamani ya chini zinapokuwa na asilimia kubwa kwenye mzunguko.

Zimbabwe iliingia kwenye mfumko uliopelekea kuchapishwa noti mpaka ya 1,000,000/=

Kununua mkate ilibidi kuwa na noti nyingi ndipo thamani ya mkate uipate. mwishowe sarafu yao ikaanguka na wakaamua kutumia us dollar.
Kwa mantiki yako basi Marekani ambayo uchumi na hela yake ndio inaaminika zaidi kuwa ndio salama kutakua na uchumi mbovu sana
Maana Marekani kuna noti za kuanzia dola 1, dola 2, dola 5, 10, 20, 50, 100
Hadi cents zinatumika
Lakini asilimia 77 ya hela iliyopo kwenye mzunguko ni dola 100

Screenshot_20230103-135538.png

10k lazima iwe nyingi kwenye mzunguko sio sasa tu tangu zamani, maana ndio hela iliyopo kwenye uchumi mkuu,

Miamala kwenye uchumi mkuu kama Mishahara serikalini na sekta binafsi, usafirishaji, banking, ujenzi, foreign exchange, zinahusisha matrilioni ya transactions kwa mwezi tangu zamani na zinakua katika 10ks
 
HAHAHA Ulisoma shule gani mkuu? Noti kubwa ku dominate kwenye mzunguko wa fedha ni ishara ya kuwa na kiwango kikubwa cha mfumko wa bei ( high inflation rate).

Hii hali hupelekea kuchapishwa kwa noti zenye thamani kubwa zaidi mfano noti ya 20,000/= nk.

Uimara wa sarafu ni pale sarafu zenye thamani ya chini zinapokuwa na asilimia kubwa kwenye mzunguko.

Zimbabwe iliingia kwenye mfumko uliopelekea kuchapishwa noti mpaka ya 1,000,000/=

Kununua mkate ilibidi kuwa na noti nyingi ndipo thamani ya mkate uipate. mwishowe sarafu yao ikaanguka na wakaamua kutumia us dollar.
Hakuna unacho kijua kuhusu masuala ya kiuchumi acha kutulisha matango pori mkuu, nchi zote duniani noti kubwa ndio huwa ni nyingi kwenye mzunguko kutokana na kwamba watu wengi wakienda kufanya miamala kwenye benki huwa wanapendelea kufanya miamala ya noti kubwa na sio noti ndogo.

Alafu mfumoko wa bei unatokana na uzalishaji kupungua mfano mwaka huu chakula kiko bei juu kwa sababu ya ukame uzalishaji ulikuwa ni mdogo hivyo chakula kilicho ingia sokoni ni kidogo wakati watumiaji ni wengi ni lazima kipande bei, kitu huwa kinapanda thamani kutokana na uhitaji.
 
Kwa mantiki yako basi Marekani ambayo uchumi na hela yake ndio inaaminika zaidi kuwa ndio salama kutakua na uchumi mbovu sana
Maana Marekani kuna noti za kuanzia dola 1, dola 2, dola 5, 10, 20, 50, 100
Hadi cents zinatumika
Lakini asilimia 77 ya hela iliyopo kwenye mzunguko ni dola 100

View attachment 2467798
10k lazima iwe nyingi kwenye mzunguko sio sasa tu tangu zamani, maana ndio hela iliyopo kwenye uchumi mkuu,

Miamala kwenye uchumi mkuu kama Mishahara serikalini na sekta binafsi, usafirishaji, banking, ujenzi, foreign exchange, zinahusisha matrilioni ya transactions kwa mwezi tangu zamani na zinakua katika 10ks
Huyu jamaa anataka kutuletea ujuaji usio kuwa na kichwa wala miguu, sio Marekani tu ni dunia nzima noti kubwa ndo huwa ni nyingi kwenye mzunguko.
 
Huo n uchumi mbovu kwa sababu gharama za maisha znapanda unaweza kuwa na izo elfu kumi but haina thaman sababu zipo nyingi kwa waliosemea uchumi ndo wataelewa
Tafsri rahisi mwambie elfu 10 mbili zinanua debe moja la mahindi na elfu tano moja hainunui debe moja la pumba za mahindi.
 
Uchumi mbovu pesa haina samani, kuna nilimpeleka kutoa pesa ATM alikuwa anataka kutoa Dollar elf mbili sasa kwenye ATM haitoi dollar ikabidi tutoe kwa shilingi sasa tumetoa pesa yule mgeni akawa anashangaa anatoa pesa nyingi sana, uku kwo hiyo dollar elf mbili unatoa noti chache sana

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Angekuwa China angetoa pesa kiasi gani?
 
Back
Top Bottom