jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Sijui sijawahi kutoa pesa ChinaAngekuwa China angetoa pesa kiasi gani?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui sijawahi kutoa pesa ChinaAngekuwa China angetoa pesa kiasi gani?
Wewe dunia nzima uliona wapi nchi wanatumia noti za rangi ya njano au kijani. Ila misimbazi ipo kibaao. Kiboko yenu msiyempenda wa viper kija. Oo mo hana hela. Anazo kibao.Halafu wangefikiria kubadilisha na pesa yenyewe
Naona bado mzigo upo mwingi kwani bado inasoma waziri ni MpangoWabadilishe waweke ipi? Msimbazi aka shuka la kimasai mbona tu iko vizuri?View attachment 2467745
AiseeeUchumi mbovu pesa haina samani, kuna nilimpeleka kutoa pesa ATM alikuwa anataka kutoa Dollar elf mbili sasa kwenye ATM haitoi dollar ikabidi tutoe kwa shilingi sasa tumetoa pesa yule mgeni akawa anashangaa anatoa pesa nyingi sana, uku kwo hiyo dollar elf mbili unatoa noti chache sana
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Baada ya kuweka data hii tuelimishane, kwa kiasi cha asilimia ngapi kila sarafu inapaswa kujinafasi kwenye mzunguko?
Babu unaandika ambavyo huvielewi wachumi wakipita hapa wataona aibu Kwa shudu hili unalolisha watuHAHAHA Ulisoma shule gani mkuu? Noti kubwa ku dominate kwenye mzunguko wa fedha ni ishara ya kuwa na kiwango kikubwa cha mfumko wa bei ( high inflation rate).
Hii hali hupelekea kuchapishwa kwa noti zenye thamani kubwa zaidi mfano noti ya 20,000/= nk.
Uimara wa sarafu ni pale sarafu zenye thamani ya chini zinapokuwa na asilimia kubwa kwenye mzunguko.
Zimbabwe iliingia kwenye mfumko uliopelekea kuchapishwa noti mpaka ya 1,000,000/=
Kununua mkate ilibidi kuwa na noti nyingi ndipo thamani ya mkate uipate. mwishowe sarafu yao ikaanguka na wakaamua kutumia us dollar.
Kwanini?Yaani tunakopa Trillion4 ndani ya mwezi, halafu pesa iliyopo kwenye mzunguko ni Trillioni 5, tumerogwa?!
Ni dalili kwamba Uchumi sio Imara,uko so fragile na prone to inflation