Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

Tanga mauno utayapata ila mashemeji kibwena.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila shaka hapa na ww ni mhusika
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]asee mbavu zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja ukitaka kuyajua hayo ...nenda social media utaona vijana wanavyoongea sentensi za vishazi tegemezi ,mara dada ,mara shemeji

Vijana wengi hawataki kujiongeza wanasubiria ngekewa eti kunasiku itatokea zali la mentali

Aokote hela ....hayo ni mawazo mgando ...wanawaza wanawake na kuomba hela ya kwenda kuhonga

Ukienda nchi za nje vijana umri wa miaka 30 tayar wana life lao

sent from toyota Allex
 
Hao hao vijana wanaoishi kwa mashemeji zako usishangae wanakugongea mkeo mpk anawahonga.

Maana wao mtaji wao ni kiuno.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alininitoa kafara kwa mganga,ndio akapata hizo fedha,nikiondoka nyumbani anasilisika,kwahiyo mimi ndondocha ndio mana siondoki home na umri huu wa miaka 47

Aisee, haya kaka kama unaamini hivyo. Kila mtu na imani yake.
 
Alininitoa kafara kwa mganga,ndio akapata hizo fedha,nikiondoka nyumbani anasilisika,kwahiyo mimi ndondocha ndio mana siondoki home na umri huu wa miaka 47
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tuache kujeli na dharau angalau nilitegeme watu wenye fikra pevu waje na suruhu au ushauri kusaidia hili janga
 
Mkakati unatakiwa uwe nao wewe Kwanza, lazima ujue unasoma nini Kwa ajili ya nini ili uje uwe nani. Siyo unajisomea somea sababu umeona utapata mkopo, unataka mpaka unamaliza form 6 upangiwe usomee nini na Kwa faida gani?? Wewe ni kilaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unanunua nini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…