Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

Jombaa mambo ni ngumu kwa kitaa tofauti na unavyofikiria, ndio kuna mabwenyenye wameuweka kwa Home tu na kwa mashemeji ila kuna wengine wapo huko kwa sababu mambo haziendi
 
mimi nimeamua kumfanya shemeji (kwa siri) NYUMBA NDOGO. Yaani kuliko nikatafute kicheche mtaani bora nile humo humo ndani kwa gharama nafuu na pia katika kutimiza ile dhana ya EMPOWERMENT.
** nahusudu utaratibu wa dini fulani (jina kapuni) wa kuruhusu kuoa zaid ya mke mmoja hata kama ni ndugu.
Mchezo hatari sana huu kwa ustawi wa familia
 
Katika kutathimini namna ambavyo kama taifa linapaswa kuwekeza kwenye elimu ya biashara (ujasiriamali) na ubunifu badala ya vijana kutegemea ajira za serikali, uchunguzi uliofanywa katika miji ya Dar es Salaam, Morogoro, Tanga, Mwanza & Kagera umegundua 88% ya vijana kati ya umri wa miaka 30 na 35 bado hutegemea kwa matumizi yao yote toka kwa wazazi ama Mashemeji zao.

Hii si dalili nzuri tunapoelekea kwenye nchi ya viwanda na kutimiza dira ya Taifa ya maendeleo ya 2025 (Tanzania Vision 2025). Vijana amkeni fanyeni kazi, biashara, kilimo, acheni kubweteka na ku-bet kutwa nzima, kushangilia mipira ya ulaya na siasa za Marekani huku hamna namna ya kuingiza kipato binafsi zaid ya kutegemea mashemeji na wazazi kuwapa pesa ya matumizi.
========

Maoni ya WanaJF yamesomwa kwenye kipindi hiki cha JAMII LEO


*vijana acheni uvivuuuu

Wewe unaongelea hayo tu,kuna wengine wameoa wameenda kukaa na wake zao nyumbani kwa wazazi wao.yaani nyumba aliyoijenga Baba yake kapewa room mbili za pembeni anaishi na mke wake hapo hapo pamoja na wazazi
 
Nani mbeya?
images (1).jpg
 
Katika kutathimini namna ambavyo kama taifa linapaswa kuwekeza kwenye elimu ya biashara (ujasiriamali) na ubunifu badala ya vijana kutegemea ajira za serikali, uchunguzi uliofanywa katika miji ya Dar es Salaam, Morogoro, Tanga, Mwanza & Kagera umegundua 88% ya vijana kati ya umri wa miaka 30 na 35 bado hutegemea kwa matumizi yao yote toka kwa wazazi ama Mashemeji zao.

Hii si dalili nzuri tunapoelekea kwenye nchi ya viwanda na kutimiza dira ya Taifa ya maendeleo ya 2025 (Tanzania Vision 2025). Vijana amkeni fanyeni kazi, biashara, kilimo, acheni kubweteka na ku-bet kutwa nzima, kushangilia mipira ya ulaya na siasa za Marekani huku hamna namna ya kuingiza kipato binafsi zaid ya kutegemea mashemeji na wazazi kuwapa pesa ya matumizi.
========

Maoni ya WanaJF yamesomwa kwenye kipindi hiki cha JAMII LEO


*vijana acheni uvivuuuu
Kumbuka na hao mashemeji ni vijana pia, Halafu watu hudanganya Sana magufuli alishasema kuwa Karine hii huwezi danganya maaana Kwa uhalisia zaid ya vijana asilimia 90 hujitegemea tofauti na miaka ya 90

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom