Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

Vijana wa mikoa mitano hiyo katu haiwezi kutusemea vijana wa nchi hii, mkuu tutake radhi
 
Hao hao vijana ndio wanatajirisha makampuni ya Betting
 
Wanaambia wakajiajiri watoto wao wanawekwa kwenye vitengo nyeti, Tutafanyaje tutawalea mpaka tupate mafao tuwape mtaji.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaaah weeeeeh hukuona hata aibu uwiiiiiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I'm 36yo bado niko kwa bimkubwa&mzee,and i'm proud of it,wengi wenu mnaongea hivyo 7bu ugumu maisha,hamna pa kwenda,nimejenga kwetu,naendelea kuishi kwetu....
 
I'm 36yo bado niko kwa bimkubwa&mzee,and i'm proud of it,wengi wenu mnaongea hivyo 7bu ugumu maisha,hamna pa kwenda,nimejenga kwetu,naendelea kuishi kwetu....
Okay. Msalimie Mudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…