Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,532
Sijawahi kukaa kwa ndugu tangu nizaliwe achilia mbali shemeji.
Hapana. Nakaa kwenye nyumba yangu.Unakaa kwa wazazi wako?
Hapana. Nakaa kwenye nyumba yangu.
Nyumba nimejenga mwenyewe. Nimeondoka nyumbani late teens.Hiyo nyumba umemilikishwa na wazazi, umenunua, umejenga au umepanga?
Umeacha lini kuishi kwa wazazi wako? I mean ukiwa na umri gani kwa mfano...
4GπππKweli kabisa... tena vijana wengi wa namna hii ni mashabiki wa Yanga. Kazi kushangilia Simba ikifungwa.
Fanyeni kazi vijana!!
Vizuri kama ni uzinzi wa jinsia tofauti mkuuMIMI KAMA KIJANA KATIKA MAISHA YANGU HUWA SIPENDI KUISHI KWA MASHEMEJI ZANGU
HATA KUKAA NYUMBANI KWA BABA NA MAMA HUWA PIA SIPENDI NDO MAANA NILIWAHI KUPANGA KWA SABABU
MIMI NINA TABAI YA......
1.ULEVIIIII
2.KUFANYA UZINZI
3.TATU NAPENDA KUJIACHIAA NA WASHIKAJI FULL KULA BATAA.
4.NNE SIPENDI KUPANGILIWA MUDA WA KURUDI NYUMBANI.
5.SIPENDI KUFOKEWA FOKEWAA OVYO AU KUSEMWA SEMWAA.
MIMI NDIO MAANA NILIONDOKA NYUMBANI MAPEMA COZ NAJIJUAA HALAFU HATA KWA MASHEMEJI SIPENDI KUKAAA ,
Ivi magufuli anaruhusuje michezo ya bahati nasibu yani kutwa VIJANA NA KUBETT monies up to eveningBetting inawamaliza vijana wanaishia kuiba iba tu
HAO BETTING wanalipa KODI hivyo hawaguswi, ASILANI.Ivi magufuli anaruhusuje michezo ya bahati nasibu yani kutwa VIJANA NA KUBETT monies up to evening
M
Magu saidia vijana wachape kaz
Sent using Jamii Forums mobile app