Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

Taifa lilipaswa kujengwa na vijana lakini matokeo yake Taifa linaingia gharama kuwajenga vijana badala ya Viwanda. Tutoke huko bandugu
 
Hili ni fundisho .2020 Si mbali InshaAllah tutakana kwenye ballot box
 
mimi nimeamua kumfanya shemeji (kwa siri) NYUMBA NDOGO. Yaani kuliko nikatafute kicheche mtaani bora nile humo humo ndani kwa gharama nafuu na pia katika kutimiza ile dhana ya EMPOWERMENT.
** nahusudu utaratibu wa dini fulani (jina kapuni) wa kuruhusu kuoa zaid ya mke mmoja hata kama ni ndugu.

Mkuu fanya mpango mkakati nimhudumie mie maana mkubwa akigundua ndoa haipo tena
 
Mchana kubeti kwenda mbele usiku msosi kwa shemeji,mjomba au sister!! Ngoja tuisome namba mpaka ya KIRUMI
 
huu utafiti umefanya kolabo na TWAWEZA,hivi unaijua 88% wewe? ina maana katika vijana 10, 8 wanakaa kwa mashemeji,hapo hujasema kuhusu wasio na wazazi au mashemeji,sema tu umenifurahisha una ka element kwa ujasiriamali
 
Mimi nina 38 naishi kwa shemeji ni baada ya kazi kuharibika ila kabla ya hapo nilikuwa msaada sana kwa shemej; nipo kwa muda wakat naweka mambo sawa! Daah uzi umenikamata balaa, niende wapi sasa!? Hata nyumba hii nina mchango mkubwa! Hahaha Jf kweli leo mmetubamba wakaa kwa shemej zetu! Ila jamani mi nalala tu ila kula nipo kivyangu town nahangaika
 
Mimi nina 38 naishi kwa shemeji ni baada ya kazi kuharibika ila kabla ya hapo nilikuwa msaada sana kwa shemej; nipo kwa muda wakat naweka mambo sawa! Daah uzi umenikamata balaa, niende wapi sasa!? Hata nyumba hii nina mchango mkubwa! Hahaha Jf kweli leo mmetubamba wakaa kwa shemej zetu! Ila jamani mi nalala tu ila kula nipo kivyangu town nahangaika
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Back
Top Bottom