Asilimia 90% ya wanawake na wanaume wanaoshabikia Simba na Yanga hawajui mpira

Asilimia 90% ya wanawake na wanaume wanaoshabikia Simba na Yanga hawajui mpira

Cute Msangi

Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
79
Reaction score
226
Mashabiki wengi wa Soka la Tanzania especially kwa mashabiki wa Simba hawajui mpira. Wameijua Simba kipindi cha mafanikio ukiwauliza mwaka 2017,2016 nk, Simba ilikuwaje au Ina kikosi gani mtu hafahamu.

Kuna shabiki mmoja Simba tumebishana sana hajui kama Azam ashawahi kuwa bingwa wa ligi.

Bodaboda, jobless ajira hakuna wengi wamejiingiza kwenye ushabiki wa mpira bila kuanza kuujua mpira wenyewe, ukiwakuta vijiweni wanabisha kila kitu na wanaongea pointless kabisa kuhusu soka.

Ukienda kwa wenzetu uko mbele England, Hispania unakuta mtoto mdogo anaijua historia nzima ya Madrid Barcelona au Man U.

Katika watu 10 hapa Tanzania watu 7 mpaka 8 hawafahamu historia za club zao za Kariakoo wanaoshabikia labda kwa wakongwe sawa.

It's me madame football.
 
Umesema hawajui mpira kwenye kichwa cha uzi, lakini kwenye maelezo yako umeonesha kuwa hawajui/ hawana kumbukumbu na historia za mpira.
Mtu anaweza kujua historia na asijue mpira. Kujua mpira kuna husisha vitu vingi ikiwemo kujua mifumo, ufundi na mbinu za mpira.
 
Mashabiki wengi wa soka la Tanzania especially kwa mashabiki wa Simba hawajui mpira. Wameijua Simba kipindi Cha mafanikio ukiwauliza mwaka 2017,2016 nk Simba ilikuwaje au Ina kikosi gani mtu hafahamu.

Kuna shabiki mmoja Simba tumebishana Sana hajui Kama Azam ashawahi kuwa bingwa wa ligi.

Bodaboda,jobless ajira hakuna wengi wamejiingiza kwenye ushabiki wa mpira bila kuanza kuujua mpira wenyewe,ukiwakuta vijiweni wanabisha kila kitu na wanaongea pointless kabisa kuhusu soka.

Ukienda kwa wenzetu uko mbele England,hispania unakuta mtoto mdogo anaijua historia zima ya Madrid Barcelona au man u

Katika watu 10 haoa Tanzania watu 7 mpaka 8 nawafahamu historia za club zao za kariakoo wanaoshabikia labda kwa wakongwe sawa

It's me madame football
Wewe unaujua mpira!?
 
Bodaboda,jobless ajira hakuna wengi wamejiingiza kwenye ushabiki wa mpira bila kuanza kuujua mpira wenyewe

Kwa hiyo hutaki sisi majobless na bodaboda tushabikie mpira ? maisha ni mafupi sana tusipangiane

20230404_070517.jpg
 
Mashabiki wengi wa soka la Tanzania especially kwa mashabiki wa Simba hawajui mpira. Wameijua Simba kipindi Cha mafanikio ukiwauliza mwaka 2017,2016 nk Simba ilikuwaje au Ina kikosi gani mtu hafahamu.

Kuna shabiki mmoja Simba tumebishana Sana hajui Kama Azam ashawahi kuwa bingwa wa ligi.

Bodaboda,jobless ajira hakuna wengi wamejiingiza kwenye ushabiki wa mpira bila kuanza kuujua mpira wenyewe,ukiwakuta vijiweni wanabisha kila kitu na wanaongea pointless kabisa kuhusu soka.

Ukienda kwa wenzetu uko mbele England,hispania unakuta mtoto mdogo anaijua historia zima ya Madrid Barcelona au man u

Katika watu 10 haoa Tanzania watu 7 mpaka 8 nawafahamu historia za club zao za kariakoo wanaoshabikia labda kwa wakongwe sawa

It's me madame football
Ulisoma shule gani wewe hujui Hata kuandika? Ungeandika hivii

"90% ya Mashabiki wa Simba na yanga hawajui Mpira"

Unatuchosha kusoma heading
 
Umeandika kweli mkuu.
Huwa hawapendi mpira WANAPENDA USHABIKI.

90% mashabiki ni Simba na yanga.
10% wapenzi wa mpira.
 
Unapata wapi ujasiri wa kubishana na mtu anaebisha Azam hajawahi kuchukua ubingwa wa Ligi kuu?!
 
umezungumzia washabiki wa Simba na Yanga ila maelezo yako umezungumzia Simba peke yake kwa hiyo na wewe tukuweke kundi gani?
wengine umri wao ni mdogo hivyo kuanza kushabikia 2017 sio tatizo wakati wengine walikuwa kijijini lakini baada ya kufika mjini wakaziona hizi timu wakaanza kuzishabikia.
 
Umesema hawajui mpira kwenye kichwa cha uzi, lakini kwenye maelezo yako umeonesha kuwa hawajui/ hawana kumbukumbu na historia za mpira.
Mtu anaweza kujua historia na asijue mpira. Kujua mpira kuna husisha vitu vingi ikiwemo kujua mifumo, ufundi na mbinu za mpira.
N.k au siyo?
 
Mashabiki wengi wa Soka la Tanzania especially kwa mashabiki wa Simba hawajui mpira. Wameijua Simba kipindi cha mafanikio ukiwauliza mwaka 2017,2016 nk, Simba ilikuwaje au Ina kikosi gani mtu hafahamu.

Kuna shabiki mmoja Simba tumebishana sana hajui kama Azam ashawahi kuwa bingwa wa ligi.

Bodaboda, jobless ajira hakuna wengi wamejiingiza kwenye ushabiki wa mpira bila kuanza kuujua mpira wenyewe, ukiwakuta vijiweni wanabisha kila kitu na wanaongea pointless kabisa kuhusu soka.

Ukienda kwa wenzetu uko mbele England, Hispania unakuta mtoto mdogo anaijua historia nzima ya Madrid Barcelona au Man U.

Katika watu 10 hapa Tanzania watu 7 mpaka 8 hawafahamu historia za club zao za Kariakoo wanaoshabikia labda kwa wakongwe sawa.

It's me madame football.
Madam football, unazingua.
 
Mashabiki wengi wa Soka la Tanzania especially kwa mashabiki wa Simba hawajui mpira. Wameijua Simba kipindi cha mafanikio ukiwauliza mwaka 2017,2016 nk, Simba ilikuwaje au Ina kikosi gani mtu hafahamu.

Kuna shabiki mmoja Simba tumebishana sana hajui kama Azam ashawahi kuwa bingwa wa ligi.

Bodaboda, jobless ajira hakuna wengi wamejiingiza kwenye ushabiki wa mpira bila kuanza kuujua mpira wenyewe, ukiwakuta vijiweni wanabisha kila kitu na wanaongea pointless kabisa kuhusu soka.

Ukienda kwa wenzetu uko mbele England, Hispania unakuta mtoto mdogo anaijua historia nzima ya Madrid Barcelona au Man U.

Katika watu 10 hapa Tanzania watu 7 mpaka 8 hawafahamu historia za club zao za Kariakoo wanaoshabikia labda kwa wakongwe sawa.

It's me madame football.
Kwa maelezo yako haya wewe ndiye huujui mpira,umeingia mjini juzi tu toka milimani Kwenu unajiona mjuzi wa kila kitu boya wewe
 
Naked truth, kun
Umesema hawajui mpira kwenye kichwa cha uzi, lakini kwenye maelezo yako umeonesha kuwa hawajui/ hawana kumbukumbu na historia za mpira.
Mtu anaweza kujua historia na asijue mpira. Kujua mpira kuna husisha vitu vingi ikiwemo kujua mifumo, ufundi na mbinu za mpira.
Naked truth, kuna watu wanasema Simba ya sasa mbovu nawaza Simba iliyokuwa bora amabayo inge-challenge Raja au Wydad ni ipi ?
Simba bora ya akina Okwi, Bocco , Kagere, Chama mbona 5G was mandatory system. Kiukweli hata Simba ya Miquissone, chama n.k isingeweza mziki huu wa sasa mfano reference kubwa ni kumfunga As Vita ndani nje lakini tunasahau As Vita kiukweli hakuwa na wanachezaji kama wa Wydad basi kwa mtazamo wa kawaida Simba ya sasa ndio bora iliyompiga mtu 7-0, Simba iliyotoka 0-60% na hadi sasa ipo quarter final na inakutana na vigingi maana yake tuwekeze hakuna zima moto kwenye maisha ya aina yoyote ikiwemo mpira.
 
Back
Top Bottom