Asilimia 90 ya watanzania tumeshagundua kwamba hawa viongozi wamehongwa kwa ajili ya bandari

Ndio maana nasema kama akili yako haipo huru itakuwa ngumu kuelewa. Huyu unaesema ameibiwa kura na kumpigwa risasi ameanza kutumia jina na sifa njema za unaesema kumpiga risasi ili aweze kufikisha ujumbe wake wa bandari na kueleweka. Kaona porojo zake za kuibiwa kura na kupigwa risasi hazina mashiko kwa watanzania.
Punguza jazba jibu hoja s wacha polojo ming zisizo na maana
Uyo ni mwanasiasa ulitaka aseme nn na km anaongea pumba mbona mlimpiga risasi
Km hao wanasiasa wanaongea vtu visivyo eleweka mbona mjomba wako jiwe aliwaibia kula zao uchaguzi wa 2020
 
Mkataba gani usio na kikomo (muda).Na hiyo asilimia 90 ni wewe na nani Wengi hatuutaki
Hahahaha naona unadanganywa na mitandao ambayo unakuta mtu mmoja ana ID kumi. Kwahiyo watu kumi kila mmoja akichangia ID zake zote kumi utaona ni watu 100 ndo wamepinga kumbe wazoefu tunajua ni watu kumi tu wenye ID kumi kumi.
 
Mmeshindwa kujibu maswali machache mmekalia majungu

Tunataka kujua yafuatayo
1. Muda wa mkataba ni miaka mingapi?
2. Kwanini Kuna kioengele kuwa mkataba hawezi kuvunjika hata kama nchi zitaingia kwenye mgogoro?
3. Kwanini Kuna kioengele kuwa kutakapokuwa na mgogoro basi kesi itaamukiwa Kwa sheria za uingereza?
4. Kwanini Kuna kioengele kuwa Tanzania itapoona fursa bandarini lazima kwanza kumuuliza DP World?
 
Duh..
 
Utafiti wako umefanyika lini na wapi ukihusisha Watanzania wangapi
 
Kwahiyo mnaamini hatujuia propaganda na ukweli upi? Unadhani ule utapeli wa faida ya gas ya mtwara tumesahau? Kwakuwa nyie mnaishi kwa propaganda mfu, unadhani kila mtu yuko kama nyie?
 
Mimi nilifikiri unakuja na dhana kwamba hawa wanaoshinikiza tukubali bandari zetu ziendeshwe na dubai ndio wamehongwa badala yake unaleta uongo eti kina lisu waliyoomba bukubuku kwa wananchi ndio wamehongwa.
Kama hujui hawa waarabu ndio watoaji wa rushwa kama wazimu. Wana huo utamaduni wa kuongea kwa hela tu na wanaweza kutuharibia sana nchi yetu kwa kuzidisha rushwa kufika kiwango kibaya zaidi.
Kule djibouti kama ulisikia walipata kandarasi baada ya kumhonga mkuu wa bandari mabilioni. Mkataba ulivunjwa baada ya miaka kama 10 baada ya nchi kuona wanavyotawaliwa na uhuru wa nchi kudhuriwa.
 
Kwahiyo mnaamini hatujuia propaganda na ukweli upi? Unadhani ule utapeli wa faida ya gas ya mtwara tumesahau? Kwakuwa nyie mnaishi kwa propaganda mfu, unadhani kila mtu yuko kama nyie?
Wewe endelea kutumiwa kupinga mkataba huku wenzako wakivuta mpunga kutoka kwa wakwepa kodi wa bandarini.
 
Wewe endelea kutumiwa kupinga mkataba huku wenzako wakivuta mpunga kutoka kwa wakwepa kodi wa bandarini.
Mpunga gani utatolewa ww boya? Hapa unaona umecheza mind game ya hatari. Majizi safari hii kazi mnayo.
 
Wewe umegundua peke yako na CHADEMA wenzio. Dubai lazima waje mvua inyeshe isinyeshe. Tumechoshwa na ubabaisha na wizi Bandarini.
 
Angalia ulivyo mweupe wa hoja. Hivi unafikiri wale wakwepa kodi na ushuru bandarini na wale ambao huiba vifaa vya magari au mizigo mbali mbali iliyopo pale bandarini wanatetewa bure!

Mtu ambae anaomba watu michango, unafikiri akipewa pesa awatetee atakataa?

Mtu ambae aliweza kumchafua Lowasa na baadae kumsafisha kwa sababu ya pesa anaweza kukataa pesa itakayomsaidia kuwalipia watoto wake ada ya shule huko ulaya?!
 
Kama ilivyokuwa ada, na kwa kujifunza kupitia uzoefu wa kashfa za EPA na ESCROW, CCM imeshatafuta cha juu kabisa kuhusiana na maandalizi ya chaguzi za 2024 na 2025. Wameshafanya biashara na Maarabu, kilichobakia ni ndoa ya mkeka tu.
 
Wanaowatuma kuja kufyefyefye mitandaoni hawana akili kama posts zenu zinavyokosa akili.


Njoo na hoja, kuchambana peleka kitchen party
 
Wanaowatuma kuja kufyefyefye mitandaoni hawana akili kama posts zenu zinavyokosa akili.


Njoo na hoja, kuchambana peleka kitchen party
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…