Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
-
- #41
Unauliza mpunga gani, unategemea mtu anaewahadaa atakuja kukwambia kuwa amepewa mpunga ili mgundue kama anawahadaa sababu ya mpunga!!Mpunga gani utatolewa ww boya? Hapa unaona umecheza mind game ya hatari. Majizi safari hii kazi mnayo.
Katika hili nipo upande wako mkuu, labda haujauelewa vizuri uzi.Wewe umegundua peke yako na CHADEMA wenzio. Dubai lazima waje mvua inyeshe isinyeshe. Tumechoshwa na ubabaisha na wizi Bandarini.
Nakushukuru sana na ubarikiwe.Katika hili nipo upande wako mkuu, labda haujauelewa vizuri uzi.
Ila nyie kwa kweli ni zaidi ya Chief Mangungo wa karne iliyopita!Naona bado akili yako haipo huru. I mean kuna mwanasiasa fulan anaitumia kwa masilahi yake na familia yake huku wewe mwenyewe ukiwa haujui kama akili yako inatumiwa.
Kwahiyo mtu kupigania bandari kubaki katika mikono ya wakwepa kodi, wakwepa ushuru, wapitisha madawa ya kulevya, wezi wa vifaa mbali mbali pale bandarini na vishoka wao ndio usasa?Ila nyie kwa kweli ni zaidi ya Chief Mangungo wa karne iliyopita!
Hamuoni aibu kufanya mambo ya late 1880s?
Au ndio maana mkampa nahuyu jina la chief Hangaya? Ili afanye kama mwenzake Mangungo?
Asante ndugu yangu, tubarikiwe sote. Hatuwezi kuruhusu kundi dogo la wahujumu uchumi pale bandarini wakishirikiana na wanasiasa uchwara na wanasheria njaa waendelee kutuhujumu, huku wenzetu wa Kenya wakipiga hatua katika maswala ya bandari.Nakushukuru sana na ubarikiwe.
Nimemshangaa huyu spika Tulia akiwa kule Mbeya akifungua shule ya Benson Mpesya primary akiweleza eti hao waarabu kwa kupewa bandari watamuwezesha Samia kuwajengea shule kama hiyo na barabara!!! Zaidi ya hayo akawatukana wazee wa Mbeya eti WAPUMBAVU kwa kupinga mkataba ; wananchi hawapingi uwekezaji wanapinga terms za uwekezaji za DPworld zilizosaininwa na Samia kuwa hazina manufaa kwa nchi na watu wake!! Kama yeye ni msomi anayejinasibu kuwa anajua sheria , angelielewa hilo!Tunauliza vigezo vya huo mkataba nyie mnapiga blabka
Nitolee ufafanuzi kwa makosa ambayo hayapo kwenye mkataba?Maneno mengiii lakini haujatolea maelezo hoja hata moja alizozileta..
Yani unaleta hisia kwenye jambo ya ufafanuzi kwa kitaalamu
Muulizeni Padri SlaaTunauliza vigezo vya huo mkataba nyie mnapiga blabka
Wale wote wanaolalamikia Mikataba mibovu baina ya Serikali ya Tanzania na makapuni Ni hivi Mkataba wa Muungano ndio Mkataba mbovu kuliko Mikataba yote Tanzania ni kauli ya Makoma wa kwanza wa Raisi wa Zanzibar mhe Othman Masoud Othman aloitoa jana mkwajuni kaskazini ungujaNimemshangaa huyu spika Tulia akiwa kule Mbeya akifungua shule ya Benson Mpesya primary akiweleza eti hao waarabu kwa kupewa bandari watamuwezesha Samia kuwajengea shule kama hiyo na barabara!!! Zaidi ya hayo akawatukana wazee wa Mbeya eti WAPUMBAVU kwa kupinga mkataba ; wananchi hawapingi uwekezaji wanapinga terms za uwekezaji za DPworld zilizosaininwa na Samia kuwa hazina manufaa kwa nchi na watu wake!! Kama yeye ni msomi anayejinasibu kuwa anajua sheria , angelielewa hilo!
Tulia badala ya kuelezea terms za contract aliyosaini Samia akawa anajisifia kuwa yeye ana PhD ya sheria hivyo uelewa wake ni mpana kuliko hao wanaohoji huo mkataba!!! Je ni kweli huyu mama ni Msomi kuliko magwiji wa sheria wakina Profesa Issa SHIVJI ambao hawakubaliani na mkataba huo?
Angalau ungetumia akili hii hii kuwauliza hao wanaopinga mkataba wakuoneshe ni kifungu gani ambacho kinaonesha kuwa Tanzania haitofaidika na uwekezaji ukilinganisha hadi wao wakapinga natumai usingeoneshwa Kwa sababu kifungu hicho Hakuna, bali wanatumia ujinga wa baadhi ya watu kupenyeza hoja zao bila hata ushahidi kwa kimvuli cha kukubaliwa na kuaminiwa na watu hao. Sababu wapingaji lengo lao ni kupotosha na kuhakikisha mkataba unavunjwa ili watu wao waendelee kubaki pale bandarini kwa manufaa yao na familia zao.Nimemshangaa huyu spika Tulia akiwa kule Mbeya akifungua shule ya Benson Mpesya primary akiweleza eti hao waarabu kwa kupewa bandari watamuwezesha Samia kuwajengea shule kama hiyo na barabara!!! Zaidi ya hayo akawatukana wazee wa Mbeya eti WAPUMBAVU kwa kupinga mkataba ; wananchi hawapingi uwekezaji wanapinga terms za uwekezaji za DPworld zilizosaininwa na Samia kuwa hazina manufaa kwa nchi na watu wake!! Kama yeye ni msomi anayejinasibu kuwa anajua sheria , angelielewa hilo!
Tulia badala ya kuelezea terms za contract aliyosaini Samia akawa anajisifia kuwa yeye ana PhD ya sheria hivyo uelewa wake ni mpana kuliko hao wanaohoji huo mkataba!!! Je ni kweli huyu mama ni Msomi kuliko magwiji wa sheria wakina Profesa Issa SHIVJI ambao hawakubaliani na mkataba huo?
Hapa umempatia sana.Muulizeni Padri Slaa
Samia angekuwa na lengo la kuhongwa basi asingeenda mbali kutafuta wawekezaji.Ni kweli, wamehongwa wote ndio akiwemo Samia.
Samia amemfungulia mtoto wake Abdul Suluhu ofisi huko Dubai na ataishi kwenye nyumba ya mama yake!!! Wazalendo wa TISS mnayajua haya? Tafadhalini okoeni nchi ndio inazama!!!Ni kweli, wamehongwa wote ndio akiwemo Samia.
Na kiongozi wa hao wanasheria njaa na mbaguzi namba moja anayechukia Wazanzibar ni Mwabukusi.Asante ndugu yangu, tubarikiwe sote. Hatuwezi kuruhusu kundi dogo la wahujumu uchumi pale bandarini wakishirikiana na wanasiasa uchwara na wanasheria njaa waendelee kutuhujumu, huku wenzetu wa Kenya wakipiga hatua katika maswala ya bandari.
wewe ndo unaakili au umeshikiwaHabari zenu wanaJF wenzangu,
Ndugu zangu,,, hapa nchini kwetu ukiwa mtu makini, mwenyekujitambua, mwenye uwezo wa kudhibiti mihemko, mwenye mawazo na akili iliyohuru bila kukontroliwa na mtu mungine ambae ataitumia akili yako kwa faida yake na familia yake huku akikuacha wewe ukidhalilika, ukiwa mwenye kutafakari kwa kina juu ya mstakabali wa nchi na future za wananchi, hakika utaweza kuona madudu mengi yaliojificha nyuma ya migongo ya viongozi wenye njaa. Kuona huko kunaweza kufanikiwa kupitia historia zao, maneno yao, na vitendo vyao.
Fikiria kiongozi mkubwa wa chama cha siasa anafika Kariakoo, badala ya kuwaeleza watu sera za chama chake, badala ya kuwaeleza watu namna watakavyofaidika, au taifa litakavyosonga mbele kimaendeleo na huduma bora kwa wananchi kutokana na sera hizo endapo chama chake au chao kitafanikiwa kushika dola.
Yeye anakuja na upepo wa bandari kwa kuwaeleza watu maneno mawili matatu ya kuuponda mkataba wa bandari bila kuonesha sehemu anayodai kuwa haifai, baada ya hapo anaanza kuomba michango na baadae akishachangiwa chake anatokomea anapokujua yeye kununua nyama, mchele, mafuta na mahitaji mengine ya lazima huku waliomchangia wengi wao wakienda kula dagaa na ugali usiku ule.
Sasa mtu mwenye akili unajiuliza kama mtu ana njaa hadi anaamua kuwakamua wale anaodai kwamba anawasaidia, je atashindwa kupokea hongo atakayohongwa na kundi lenye lengo la kumtumia kupush ajenda zao mbele.
Kama anachukua hadi elfu ya masikini muuza pilipili wa Kariakoo atawezaje kukataa milioni 1 au 2 ya wale wapitisha madawa ya kulevya bandarini, wezi wa vifaa vya magari na mizigo mbali mbali bandarini, wakwepa kodi na ushuru wa bandarini?
Jibu utapata kwamba jamaa amehongwa ili awapambanie waliomuhonga, na hizo za Kariakoo anazitumia kununua mahitaji yake ya siku. Ndio maana tunasema hawa viongozi wanapambana kwa sababu ya njaa zao na wakishapata chao wanatokomea kula na familia zao. Mnaosubiri kupata maendeleo kupitia viongozi hawa, hamna tofauti na mtu anaesubiri nazi ianguke kutoka juu ya mkungu.
Acha kutuna mkuu. Jenga hoja.wewe ndo unaakili au umeshikiwa
Huyo Mwabukusi ni mtu wa hovyo sana ndomana kadharauliwa na kila mwenye akiliNa kiongozi wa hao wanasheria njaa na mbaguzi namba moja anayechukia Wazanzibar ni Mwabukusi.