Nafundisha watu wazima wanaolipwa mishahara, sio watoto wadogoTena wewe mwalimu watuisheni huna check namba una stress za kufa mtu .maana mtoto mmoja asipokuja twiti utajua kaacha na hapo kahela kamepungua.
Diploma kumbe ni level ndogo sana?Still a tuition in kind au uliishia diploma mwalimu
Hahaha.. Furaha ya mwanadamu ni sawa na kucha vidoleni... Strss kwa mwanadamu ni sawa na vidoleHata wewe utakaekomenti kwa busara Uzi huu una stress.
Defense mechanism[emoji23]Utakaenitukana pia una stress.
Unavuka red line sasa[emoji3]Hata Maxence Melo alikuwa na stress za kesi yetu ya cc wana jf Ila hata Sasa hakosi stress za gari kodinza pango la jf hq nk life is full of stress.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie lol.Sasa hii nchi ukose stress Mungu babu yako!!!
Matusi yale ya nguoni?Kuna mwamba aliniambia watu wa jf wengi wanastress nikamtukana kumbe alikuwa na kaukweli.
Wanasema eti Mungu si asumaniSasa hii nchi ukose stress Mungu babu yako!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanasema eti Mungu si asumani