Asilimia kubwa ya sisi members wa jamiiforum tuna stress za maisha

Hata Maxence Melo alikuwa na stress za kesi yetu ya cc wana jf Ila hata Sasa hakosi stress za gari kodinza pango la jf hq nk life is full of stress.
Ana stress pia za kukimbiwa na manguli wa JF akina Slaa, Mnyika, Pasco, Mwanakijiji, The Bold, Zitto, Mwigulu, Tibaijuka, Molemo na wengineo wengi walioikacha JF kiaina!! JF ya sasa siyo ile ya 2015 kushuka chini!! Hii tuliyonayo sasa imekusanya kila aina ya vilaza
 
Imagine jingalao nayeye ni great thinker uko sahihi.
 
Rudia kusoma uone makosa yako yanayoakisi stress zako
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio lazima kuwa na stress! [emoji56][emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…