Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Ana stress pia za kukimbiwa na manguli wa JF akina Slaa, Mnyika, Pasco, Mwanakijiji, The Bold, Zitto, Mwigulu, Tibaijuka, Molemo na wengineo wengi walioikacha JF kiaina!! JF ya sasa siyo ile ya 2015 kushuka chini!! Hii tuliyonayo sasa imekusanya kila aina ya vilazaHata Maxence Melo alikuwa na stress za kesi yetu ya cc wana jf Ila hata Sasa hakosi stress za gari kodinza pango la jf hq nk life is full of stress.
Imagine jingalao nayeye ni great thinker uko sahihi.Ana stress pia za kukimbiwa na manguli wa JF akina Slaa, Mnyika, Pasco, Mwanakijiji, The Bold, Zitto, Mwigulu, Tibaijuka, Molemo na wengineo wengi walioikacha JF kiaina!! JF ya sasa siyo ile ya 2015 kushuka chini!! Hii tuliyonayo sasa imekusanya kila aina ya vilaza
Au Mmawia hahahaImagine jingalao nayeye ni great thinker uko sahihi.
Imagine Magonjwa MtambukaAu Mmawia hahaha
Rudia kusoma uone makosa yako yanayoakisi stress zakoKubali ukatae asilimia 90 ya sisi members wa jf ni stressed people hebu ona. Magret thinkers tunapoangukia ilinujue tuko stressed.
1. Wengi tuna kazi Bora. (Kazi huleta stress)
2.wengi tuna pesa.(pesa huleta stress)
3.Wengi tuna ndoa (ndoa huleta stress)
4. Wengi tuna chepuka.(kuchepuka huleta stress)
5.Wengi tuna magari.(magari huleta stress)
5.Wengi tumedivosi kuachwa na kuachika. (Haya huleta stress)
6.Wengi ni watumishi wa umma. (Awamu ya tano iliwastress)
Kiufupi jamiiforum ni jukwaa la stressed people kataa.
Superbug
hahhaaaaa umejuaje ?Hata Maxence Melo alikuwa na stress za kesi yetu ya cc wana jf Ila hata Sasa hakosi stress za gari kodinza pango la jf hq nk life is full of stress.
na huu ndio mfano mmoja wapo wa stressKwahiyo....????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ana stress pia za kukimbiwa na manguli wa JF akina Slaa, Mnyika, Pasco, Mwanakijiji, The Bold, Zitto, Mwigulu, Tibaijuka, Molemo na wengineo wengi walioikacha JF kiaina!! JF ya sasa siyo ile ya 2015 kushuka chini!! Hii tuliyonayo sasa imekusanya kila aina ya vilaza
[emoji26][emoji26]Asante kwa kutusemea, hapa yenyewe nina stress wana jf mnishike mkono siwezi share hapa ila mtu akija kwa pm nita share naye asanteni
Usilie[emoji26][emoji26]