Asilimia kubwa ya wanaume wanaojielewa wapo PM

Mwanzo wa Ngoma ni lele watapita njia ndefu mwisho wa yote ni hapo panapotenganisha kiwiliwili na miguu tu (nyapu) basi
Yes i knw bt hawana mambo hayo ndugu yangu ni watu wenye busaraa zao
 
Yes i knw bt hawana mambo hayo ndugu yangu ni watu wenye busaraa zao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mambembe mwanaume Kwa mwanamke ni nyapu kunanjia nyingi za kutumia akitaka kukuweka karibu ili akupe hotpipe
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mambembe mwanaume Kwa mwanamke ni nyapu kunanjia nyingi za kutumia akitaka kukuweka karibu ili akupe hotpipe
Ok dear nimekuelewaa ntakuwa more careful
 
Nasisi wa kucomment kwa nadra pia tuna maneno ya busara bila shaka
 
Kwani we nindugu yake yule money penny??
 
Tusingecomment chochote mana kashasema hatujielewi
 


PM ni kesi...wAtu wanakusanya ushahidi tu siku wanapanda vichaa wana screenshot tu wanaleta kwenye thread

Do not go to PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…