Asilimia kubwa ya wanawake siku hizi wana hips na wowowo za kutisha, inasababishwa na nini?

Asilimia kubwa ya wanawake siku hizi wana hips na wowowo za kutisha, inasababishwa na nini?

View attachment 2110983

Kwa utafiti tu kutazama ktk pirika pirika na mihangaiko ya hapa na pale hapa jijini Dar es Salaam. Katika maeneo tofauti tofauti kwenye mkusanyiko mfano katika vituo vya mwendokasi, ferry Kigamboni, nimegundua wanawake wa siku hizi wengi sanaaa wana hips za kuvutia, rangi za ngozi wengi ni weupe, na wengi Wana ma wowoo makubwa sanaa.

Nimegundua upungufu wa wanawake wembamba kwa kiasi kikubwa sanaa, kiasi ukimuona basi lzm kama ni mwanaume mtoa macho utashangaa ni wapi huyu katokea?

Haya mabadiliko ya kimaumbile na muonekano kwa hawa wanawake wa Dar es Salaam unachangiwa na mabadiliko ya kiafya au kiuchumi?

Note: Uzi huu haupo katika mtazamo wa kiuzinzi wala matamanio ya kutazama wanawake na kuwataman bali mtafiti alijikita kutazama predefined indicators 3

Makalio makubwa
Wengi Wana hips
Wengi ni weupe
Jamani msambwadosee mtamu hasa kwa dogmanias, Utamu ulipo na amahela yalipo kwa wale wa yalaheze amahela wasubiri
 
Wenye maumbo halisi wako chekechea na shule ya msingi. Wakishajua kupanda ndege tu sahau. Huko Mturuki anarekebisha kazi ya Mwenyezi Mungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
1.Vyakula.. ulaji wa viazi hu stimulate mtu kuwa na shape ndio maana haishauriwi wanaume kula sana chips
2. Kukosa mazoezi hufanya watu kuwa wanene
3. Shape wear, kama vigodoro, kuvaa mikanda ya tumbo
4. Surgery, mtu kwenda kutengeneza shape
5. Madawa
6. Kuridhika
7. Sperm, hizi husaidia kumtengeneza mwanamke kuwa na ngozi nzuri na shape nzuri
8. Uzazi, wanawake wengi wakijifungua basi shape hutanuka kwa kasi

Swala la wengi kuwa maji ya kunde
.Vipodozi
. Mixed race , chotara
. AC
.Kutokushinda sana juani
.Kula vizuri
 
Aisee leo nimemuona mdada ana mtrakooo mpaka nikawaza iv izo chaga anazolala ni za size gan ? Na huyo bwana wake anapataje shida pale ktk 6x6
 
View attachment 2110983

Kwa utafiti tu kutazama ktk pirika pirika na mihangaiko ya hapa na pale hapa jijini Dar es Salaam. Katika maeneo tofauti tofauti kwenye mkusanyiko mfano katika vituo vya mwendokasi, ferry Kigamboni, nimegundua wanawake wa siku hizi wengi sanaaa wana hips za kuvutia, rangi za ngozi wengi ni weupe, na wengi Wana ma wowoo makubwa sanaa.

Nimegundua upungufu wa wanawake wembamba kwa kiasi kikubwa sanaa, kiasi ukimuona basi lzm kama ni mwanaume mtoa macho utashangaa ni wapi huyu katokea?

Haya mabadiliko ya kimaumbile na muonekano kwa hawa wanawake wa Dar es Salaam unachangiwa na mabadiliko ya kiafya au kiuchumi?

Note: Uzi huu haupo katika mtazamo wa kiuzinzi wala matamanio ya kutazama wanawake na kuwataman bali mtafiti alijikita kutazama predefined indicators 3

Makalio makubwa
Wengi Wana hips
Wengi ni weupe
wenye rectangle shape tunapata tabu sana siku hiz

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Exost
20220217_101942.jpg
 
Umenikumbusha kuna wakati niko Msamvu nasubiria gari za kuja Dar za kutoka mikoani...around saa 9 hivi zikaanza kuingia gari za kutoka Tabora.

Bus la kampuni fulani likafika pale na kusimama kwa muda...abiria wakawa wanashuka kwenda kuchimba dawa.

Hapa ndipo shida ilipoanzia. Alishuka mdada mmoja hivi ana mzigo wa haja...akawa yuko na jamaa yake wanaelekea msalani. Sasa ile wahuni wa pale Msamvu kuona vile wakaanza kupiga miluzi huku wanamfata yule dada kwa nyuma...

Jamaa yake yule demu akawa anajitahidi kuwaonya wale wahuni..ila wapi hawasikii..akaingia msalani vijana wako nje wanamsubiria...alivyotoka tena wakaanza kelele zao wakamsindikiza hadi kwenye basi. Jamaa yake ikabidi awe mpole tu...

Kuna aina ya maumbo mwanamke akiwa nayo atapata tabu sana kama anatumia public transport.
 
Ni Kama Climatic Change Yameathiri Hadi Binadamu Katika Positive Way Kwa Wapenda Heavy Weight.
 
Umenikumbusha kuna wakati niko Msamvu nasubiria gari za kuja Dar za kutoka mikoani...around saa 9 hivi zikaanza kuingia gari za kutoka Tabora.

Bus la kampuni fulani likafika pale na kusimama kwa muda...abiria wakawa wanashuka kwenda kuchimba dawa.

Hapa ndipo shida ilipoanzia. Alishuka mdada mmoja hivi ana mzigo wa haja...akawa yuko na jamaa yake wanaelekea msalani. Sasa ile wahuni wa pale Msamvu kuona vile wakaanza kupiga miluzi huku wanamfata yule dada kwa nyuma...

Jamaa yake yule demu akawa anajitahidi kuwaonya wale wahuni..ila wapi hawasikii..akaingia msalani vijana wako nje wanamsubiria...alivyotoka tena wakaanza kelele zao wakamsindikiza hadi kwenye basi. Jamaa yake ikabidi awe mpole tu...

Kuna aina ya maumbo mwanamke akiwa nayo atapata tabu sana kama anatumia public transport.
Anatakiwa afurahie,anapata tabu kwani kajiumba?
 
Mpaka wahindi yaan mm nikikatishanile mitaa ya Kisutu, Morogoro road na indra gandri aisee wahindi nao wapo motooo shape namba nane kalio utazani mnyakyusa

Dah we acha tu, hivi karibuni nilikatiza maeneo ya Livingstone majira ya saa 1 usiku, nikakuta madada wa kiarabu na wa kihindi wanakula urojo, yani dah nilijishtukia tu saa 4 , mana ilinibidi nitulia sehemu niangile tu wanavyopishana kuja kununua. Ynai vitu ndembe ndembe vya kumwaga
 
Back
Top Bottom