Asilimia kubwa ya Watanzania wanajua usafi wa mwili na mazingira yao ila wengi ni wachafu na wasio na kinyaa kabisa!

Kuna tabia ya kuchokonoa pua halafu anakupa mkono za saizi bwana kitambo sana wapi hivi upo saizi🤣🤣
Uchafu mtupu na hapo katoka toilet labda hakunawa mikono, au kapenga kwa mikono aaargh ndio maana sisalimii mtu kwa mkono aisee...
 
Nimewahi kufanya Kazi na waturuki nao wachafu Sana, kwanza hawaflashi uchafu wao, pili wanakula bila kunawa mikono

Kuna hii ishu ya kufunga vitafunio au samaki wa kukaanga ktk magazeti huu nao ni uchafu mwingine, watu wanshikashika magazeti na chafya zinapigwa humo kisha tunafungiwa vitu ambavyo tunaenda kula moja Kwa moja

Juzi nilienda kunywa chai kwa Mama lishe, daah anapiga chafya huku anasukuma chapati tena bila kujizuia Kwa namna yoyote ile, ikitokea hitajio la kula kwa mama lishe nimeapa sitoenda kwa yule madam mchafu
 
Kuchokonoa meno kwa njiti mbele ya watu ni uchafu mkubwa.
Mimi hata hamu ya kula huwa inakata mtu akichokonoa sehemu ya kula

[emoji817][emoji817]
Ustaarabu ni kuziba kwa kiganja.
 

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wengi usafi wanaojua ni ule wa kuoga, kufua, kudeki na kufagia mazingira yanayozunguka nyumba zao na usipofanya haya jamii itakuwa mchafu na utasemwa tena sana lakini ni jamii hio hio isiyojali kabisa usafi wa kile kinachoingia mdomoni wala kuwa na kinyaa zaidi ya kinyaa cha kuona kinyesi tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo kifupi asilimia kubwa ya watanzania hawajastaarabika kabisa.

Hivi mtu mzima unaanzaje kuchokonoa pua zako na vidole hadharani Kisha unaendelea tu mambo mengine bila kunawa mikono?? Hayo mambo kama ni lazima yalitakiwa yafanyike chooni kisha unawe mikono na sabuni. Kuna sababu kwanini kuna kioo pale kwenye sink la kunawia mkono.

Kutonawa mikono na sabuni baada ya kutumia bathroom iwe haja ndogo au kubwa.

Kutumia maji yanayokaa kwenye ndoo vyooni badala ya maji tiririka
 
Wanaonishangaza zaidi ni wale wanaopigwa mswaki kwa kutumia maji ya kwenye ndoo ya kuogea ambayo hutumika pia kufulia nguo za ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"Putuuuuuuu" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
CC: Pascal Mayalla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…