Asilimia kubwa ya watoto kuanzia miaka 10+ wameharibika kimaadili

Asilimia kubwa ya watoto kuanzia miaka 10+ wameharibika kimaadili

Bongo fleva ina mchango mkubwa sana hapa hasa hasa wale vijana wa wasafi yaani ukipigwa wimbo wao kama upo na watoto au watu wazima unaowaheshimu inabidi tu ubadilishe chanel
 
Gwala kwa wana Jeifu,

Niende kwenye mada, kwa siku za hivi karibuni nimeshuhudia vituko na vibweka vya watoto wa miaka 10 na kuendelea kwa
Huwezi kuwalaumu watoto lawama ziende kwa wazazi na jamii kwa ujumla.
 
Bongo fleva ina mchango mkubwa sana hapa hasa hasa wale vijana wa wasafi yaani ukipigwa wimbo wao kama upo na watoto au watu wazima unaowaheshimu inabidi tu ubadilishe chanel
Hii bongo fleva ina shida kubwa, ila sijajua ni kwamba wanalelewa (waimbaji) au Mamlaka husika zimekosa meno yaku-deal na hawa waimbaji
Kila mtoto anataka awe mkata mauno
Sahvi watoto hawafikiri kuja kuwa walimu,madokta,mafundi,manesi nk
Ukipata wasaa wa kuwahoji watoto 10
Katika hao 10 ,wanane wanataka wawe wakata mauno
Nchi hii mpaka 2030 2035 huko itakuwa kama kongo ,watajaaa wakata mauno tupu ----- type

Ova
 
Tatizo ni kwamba watu wengi siku hizi tume~underrate sana suala zima la maadili.

Ikumbukwe mtoto ummleavyo ndivyo akuavyo.

So core ya mabadiliko haya ya kitabia naweza kusema ni sisi wenyewe
 
Back
Top Bottom