Asilimia zaidi ya 90 ya wanawake tunaooa SIO bikira SIO brand new ni second hand commodity.

Jitu limalize la saba, form four/six, chuo lipate ajira halafu litake ndoa ili liwe na familia ulikute bikira? Hawa wanaoshia la saba unaweza kupata bikira ila hawa wengine uhuni walishaujua kitambo. Dhana ya ubikira ni malezi ya dini na familia ambayo nayo imekuwa changamoto kwenye mifumo ya maisha ya kisasa kimaadili
 
 
Wewe ni bikra? Umeanza mapenzi ulipooa? Kama umeoa hata. Ukute you’re under 25. Kama wewe sio bikra ulikua unatembea na wanawake ambao umewaumba mwenyewe?

Yani wewe utumie wanawake watakaokuja kuwa wake za watu baadae utegemee utaletewa mke bikra kutoka mawinguni? Una uzima kichwani?
 
Wewe umekaza huki nyuma au ulichezewa na padri au mwalim wa madra.a?
Hao ndio wanaume tunaokutana nao siku hizi
Wape na wao ukweli wao maana wamekazana na wanawake kutwa. Wenyewe saizi hawana marinda, houseboys wao walishayatatua kwanza na sisi tuanzishe hizo mada uone watakavyo paparuka waseme wanakosewa adabu. Ila wao kuwatukana wanawake ni starehe
 
Je Mama, Dada, Shangazi zako waliolewa nazo?
So mamako, dadzako na shangazi Kama walikuwa malaya na wewe utaoa malaya sio

Means babako Kama alikuwa anamlandogo... Na wewe utakuwa unamla ndigo mkeo

BOTTOM LINE: Suala la mahusiano lako halihusiani na Ndugu zako tujifunze kujeshimu mipaka
 
Maandiko mangapi ya hiyo Biblia huyafuati, unataka ufuatilie hilo moja
 
Vipi wanaooa wajane?? Ama wajane nao wasiolewe kisa walishabikiriwa??
 
Eti kibiblia🤣🤣🤣😂😂 umetisha mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…