Asilimia zaidi ya 90 ya wanawake tunaooa SIO bikira SIO brand new ni second hand commodity.

Asilimia zaidi ya 90 ya wanawake tunaooa SIO bikira SIO brand new ni second hand commodity.

Sababu nyingine kubwa ya kwanini tusuioe / tusiwaowe wanawake wa leo !? Wengi wao walishatumika SIO bikira ni used tayari na ukioa mwanamke aliyetolewa usichana wake na mwanaume mwingine ule utukufu wa kumbikiri kibiblia unaenda kwà yule mwanamme mwingine na ndio maana mizozo haiishi kwasababu umeingilia utukufu wa kubikiri wa mwanaume mwingine!
Brand new second hand.... Peter Tosh!
 
Wanaume wenyewe hata marinda siku hizi hawana
Tukisema ufanyike ukaguzi wa marinda kwa wanaume watu wengi wataaibika mno.

Tuvumiliane tu maana mambo ndo yashakuwa mengi na muda ni mchache
 
Sababu nyingine kubwa ya kwanini tusuioe / tusiwaowe wanawake wa leo !? Wengi wao walishatumika SIO bikira ni used tayari na ukioa mwanamke aliyetolewa usichana wake na mwanaume mwingine ule utukufu wa kumbikiri kibiblia unaenda kwà yule mwanamme mwingine na ndio maana mizozo haiishi kwasababu umeingilia utukufu wa kubikiri wa mwanaume mwingine!
Chief, hii ni prejudice na hate sio hoja ya kuitumia kabisa. Hizi mada zinakosa hoja sasa maana zinatolewa bila kichwa wala miguu. Nikiangalia washikaji zangu wengine wanavyotamba kufanya uchafu na wanawake tofauti nadhani hii hoja haina mantiki kabisa. Kwakuwa kama sisi ndio tunawabug unategemea nani afanye debugging. Hapa naanza kuelewa kuwa wanaoleta hizi mada ni watoto wadogo au wanawachukia wanawake sio kwamba wanahoja yakinifu ya kukataa ndoa. Tuwabikiri sisi tena kwakujisifu halafu tujiite wasafi na tutake kisafi. Hii hoja haina mashiko.
 
Wewe ni bikra? Umeanza mapenzi ulipooa? Kama umeoa hata. Ukute you’re under 25. Kama wewe sio bikra ulikua unatembea na wanawake ambao umewaumba mwenyewe?

Yani wewe utumie wanawake watakaokuja kuwa wake za watu baadae utegemee utaletewa mke bikra kutoka mawinguni? Una uzima kichwani?
Jiulize bikra ni nini? je mwanaume ana bikra na inakaa wapi?
 
Sababu nyingine kubwa ya kwanini tusuioe / tusiwaowe wanawake wa leo !? Wengi wao walishatumika SIO bikira ni used tayari na ukioa mwanamke aliyetolewa usichana wake na mwanaume mwingine ule utukufu wa kumbikiri kibiblia unaenda kwà yule mwanamme mwingine na ndio maana mizozo haiishi kwasababu umeingilia utukufu wa kubikiri wa mwanaume mwingine!
Wanaume ni zaidi ya 300% kama zipo. Tuache kuwaonea mama na dada zetu. Jitathimini kwanza wewe; je unayo hiyo kitu?
 
Sababu nyingine kubwa ya kwanini tusuioe / tusiwaowe wanawake wa leo !? Wengi wao walishatumika SIO bikira ni used tayari na ukioa mwanamke aliyetolewa usichana wake na mwanaume mwingine ule utukufu wa kumbikiri kibiblia unaenda kwà yule mwanamme mwingine na ndio maana mizozo haiishi kwasababu umeingilia utukufu wa kubikiri wa mwanaume mwingine!


Haya ni mawazo ya kimaskini na yakidharirishaji, kile kitu ni kiungo cha mwili, tena kina hisia, sasa unataka kisipate huduma yake?

Mbona ujatafuta mwanamke ambae meno yake ni bikra hayajawahi kusafishwa?
 
Kama hukumkuta mkeo bikira basi jua huyo SIO mke wako pekee yako ni mwanamke wa jamii. Maana utukufu wa bikira yake umegawanywa kwà jamii nzima.

Wakati huo na ww ni bikra au
 
Mtu akiache kipate kutu eti kisa anasubiria ndoa? Aaaah salaleeeee

Kila mtu ashinde mechi zake kikubwa pumzi!
 
Wanaume ni zaidi ya 300% kama zipo. Tuache kuwaonea mama na dada zetu. Jitathimini kwanza wewe; je unayo hiyo kitu?
Nadhani tunajibu hoja hii kwa mihemko!

Tangia lini mwanamme akawa na bikra jamani?

Hicho ni cheo na wadhifa wa kike.

Bikra ni sawa na kuongelea kuvunja ungo ambapo kwa mwanaume kuna neno lake.

Kibaiolojia na kijamii, siyo kila hatua inayofanyika katika mwili wa mwanamke na kwa mwanaume hufanyika pia.
 
Daah jua kali hizi pisi kali unataka ziwe na bikra kweli utani huo na ili iweje hasa...
 
bikira ..bikira.. Bikira ya nyoko .tengeneza ya kwako uwe unatembea nayo mfukoni
 
Back
Top Bottom