Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,334
- 5,829
Brand new second hand.... Peter Tosh!Sababu nyingine kubwa ya kwanini tusuioe / tusiwaowe wanawake wa leo !? Wengi wao walishatumika SIO bikira ni used tayari na ukioa mwanamke aliyetolewa usichana wake na mwanaume mwingine ule utukufu wa kumbikiri kibiblia unaenda kwà yule mwanamme mwingine na ndio maana mizozo haiishi kwasababu umeingilia utukufu wa kubikiri wa mwanaume mwingine!