Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kosa kisheria, kumfunga mtu kizazi bila ridhaa yake[emoji16][emoji16][emoji16]Sasa wamfunge kizazi huyo mlemavu wa akili, wao pia wana upungufu wa busara
Ni kweli mkuu anaweza kuwa katika hali hiyo lakini pia akawatambua wanaomfanyia hivyo. wajaribu bahati.Kwani uyo mlemavu wa akiri ana semaje kuhusu ilo..mme jarbu kumhoji
Sent from my SM-A105G using Tapatalk
Sawa hata kutoa mimba ni kosa kisheria lakini kuna mazingira yanayohalalisha kitendo hicho.ni kosa kisheria,kumfunga mtu kizazi bila ridhaa yake[emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Maneno yako ni yakipuuzi sana nilikua nakula nimetaka hadi kutapika kwa maneno yako ya hovyo
HahahahahaKwani uyo mlemavu wa akiri ana semaje kuhusu ilo..mme jarbu kumhoji
Sent from my SM-A105G using Tapatalk