Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Kuna wanaume wanaamini kwa dhati kabisa kuwa bucha zote nyama ni ile ile!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila binadamu ana asilimia za akili chafu, tunatofautiana reaction tuuuuuWana uhakika ni mwanamme mmoja?
Nalaani ubakaji huo.
Wanaume wengine akili zenu,chafu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuta ni mtu ambaye hana ramani kabisaVyombo husika vya dola vingechunguza kwa kina hao watoto wa huyo mlemavu wa akili wanafanana na nani hasa hapo mtaani. Wakamate hata washukiwa watatu tu, wakawapime DNA ili atakaye bainika awajibishwe kwa mujibu wa sheria.
Mambo magumu sana haya. Kuna jamaa yangu nilisoma naye chuo alikuwa na dada mwenye hali kama hiyo ya ulemavu wa akili lakini pia ilichanganyika na ulemavu wa viungo, ndiyo alikuwa dada mkubwa kwenye familia yao. Niliambiwa huyo dada aliwahi kupata mimba, wazazi wakamshuku mfanyakazi wao wa shamba kuuwa ndiye mhusika, wakamwitia mgambo wa kijiji wakamkamata na kumpiga sana kabla ya kumpeleka polisi.Wana uhakika ni mwanamme mmoja?
Nalaani ubakaji huo.
Wanaume wengine akili zenu,chafu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo magumu sana haya. Kuna jamaa yangu nilisoma naye chuo alikuwa na dada mwenye hali kama hiyo ya ulemavu wa akili lakini pia ilichanganyika na ulemavu wa viungo, ndiyo alikuwa dada mkubwa kwenye familia yao. Niliambiwa huyo dada aliwahi kupata mimba, wazazi wakamshuku mfanyakazi wao wa shamba kuuwa ndiye mhusika, wakamwitia mgambo wa kijiji wakamkamata na kumpiga sana kabla ya kumpeleka polisi. Kule mahabusu alikaa wiki moja tu akafariki, lakini alikana tuhuma hiyo hadi dakika ya mwisho. Mwaka mmoja baada ya kujifungua, yule dada alipata mimba nyingine na hakujulikana mhusika. Hata yule mtoto wa kwanza hafanani hata chembe na aliyetuhumiwa kuhusika. Bahati nzuri ile familia ina uwezo na wale vijana wawili sasa hivi ni watu wazima wamekulia kwa babu yao katika hatua zote, lakini bado hawajulikani baba zao/yao.
Mkuu wa dawati la jinsia mkoa wa Mbeya, Jannet Masangano alikiri Ofisi yake kuwa na taarifa za binti huyo na kusisitiza kuwa kinachofanywa kwa vyovyote na mtu anayemzalisha mlemavu huyo ni kitendo cha ubakaji kwakuwa ana imani hakuna makubaliano ya mahusiano ya kimapenzi yanayofanyika kati yao.
HabariLeo
Walisononeka sana japo yule baba alisikika mara kwa mara akijitapa kuwa ametoa fundisho baada ya ile mimba ya kwanza. Kilichobaki watoto wale hadi leo wamechukua ubini wa babu yao na wameendelea. Mmoja ana biashara ya hardware ndiye anayemtunza mama yake na bibi yake, babu yao alishafariki.Sipati picha hao wazazi walijisikiaje kuhusika na mauaji.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nanyinyi huwa mnachangia tukiwatongoza hasa hawa mabinti wa kisasa utajibiwa Mimi sio hadhi yako!!
Hapana ...wanajua Cole...Wasamehe Mkuu hawajui walitendalo
Kuna watu wana experiment za hovyo sana kwenye haya maisha.Wana uhakika ni mwanamme mmoja?
Nalaani ubakaji huo.
Wanaume wengine akili zenu,chafu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mimi nikisikia ila siyo vichaa tu hata walemavu wengine wanaoonwa hawafai na jamii vichaa, vipofu na wenye mtindio wa ubongokuna jamaa niliwahi msikia akisema ukiwaingilia vichaa au kuwapa papuchi wapata thawabu
Kwa hiyo watu wanafata mteremko
Unalaani nini mkuu!! Ni mlemavu wa akili lakini utelezi hauna ulemavu.Wana uhakika ni mwanamme mmoja?
Nalaani ubakaji huo.
Wanaume wengine akili zenu,chafu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app