Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bangi nibangue ,...lol
Una akili timamu kweli?ILA ASIKWAMBIE MTU KITUMBUA CHA VICHAA KITAMU SANA! KWANZA INAKUWA HOT HOT pili Ule MSITU WA VUZ UNAFANYA KUPEMBUA TU!
Mwisho kichaa hana gharama!...ni unafanya kumuitia zawadi kwenye jumba bovu au shamba la mihogo unamkunja swaaaafiii kabisa..anabaki kukenua tu
Big up! Kwa nini ustawi wa jamii wasimfunge kizazi huyo Binti,? kwanini serikali isiingilie Kati tangu hapo mwanzo?Kwani watoto wanafanana? Wanajuaje kama ni wa baba mmoja? Kwa nini wasimfunge kizazi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wawapime DNA wanasiasa wa mbeya hasa wabungeUsikute ni masharti ya uganga.
Hiyo sio roho ya kibinaadamu kabisa.
Ipo siku yake huyo mjinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini hisia hizo unazitoa wapi za kulala na chizi halafu mlemavu? wakati watu wenye akili zao na viungo vilivyotimia wapo tele mtaani wanatafta wa kuwazalisha hawapati
Patam hapo.......usikute anaemfanya hivyo ni chizi mwenzake...
Sio watamu wamepoozaLakini hisia hizo unazitoa wapi za kulala na chizi halafu mlemavu? wakati watu wenye akili zao na viungo vilivyotimia wapo tele mtaani wanatafta wa kuwazalisha hawapati
Hata mimi nimehisi hivyo. Niliwahi kushuhudia wagonjwa wa akili wakidinyana hospitali ya mkoa Morogoro mjini...usikute anaemfanya hivyo ni chizi mwenzake...