Pre GE2025 Asiyepiga kura hana haki ya kuhoji wizi wa kura, tujitokeze 2024 na 2025 kupiga kura na kuzilinda

Pre GE2025 Asiyepiga kura hana haki ya kuhoji wizi wa kura, tujitokeze 2024 na 2025 kupiga kura na kuzilinda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!!

Nachukua wasaa huu kuwaamsha wote waliokata tamaa, wote walioapa hadharani kuwa hawatashiriki kupiga kura wengine wakachoma kadi za kupigia kura, baada ya matumaini Yao ya kumuona ndugu Edward Lowwassa anakuwa Rais wa nchi 2015 kupotea.

Uchaguzi wa 2020 pia ulichagizwa na mwitikio mdogo wa wapiga kura, wakiamini Bado wizi upo na ungeendelea,

Huu ni mwaka 2024, panapo majaaliwa, ikiwa uchaguzi wa Serikali za mitaa utafanyika, tujitokeze Kwa wingi kumsikiza sera za wagombea,kupiga kura na kuzilinda. Vile vile mwaka kesho 2025 WIMBI liwe kubwa zaidi.

ANGALIZO: Kura za wizi Huwa zipo kuongezea zilizopo, sasa tukijitokeza Kwa wingi kupiga kura na kuzilinda,haitowezekana kuiba kura.

Mungu Mbariki Nabii Mwabukusi,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni🙏
 
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Kwa taarifa yako hatujakata tamaa, bali tumepuuza huo uhuni uitwao uchaguzi. Mtu asiyejitambua, au anayefaidika na chaguzi hizi, ndio atajitokeza kupoteza muda kwenye huo uhuni
 
Kupiga kura ni haki ya kila mtanzania aliyekidhi vigezo kikatiba
 
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Kwa taarifa yako hatujakata tamaa, bali tumepuuza huo uhuni uitwao uchaguzi. Mtu asiyejitambua, au anayefaidika na chaguzi hizi, ndio atajitokeza kupoteza muda kwenye huo uhuni
Wewe ndio UPUUZWE.

Lissu asingekwenda kumpigia kura Mwabukusi na kulinda kura yake, tusingekuwa tunafurahia Leo ushindi wa Nabii Mwabukusi.
 
Wewe ndio UPUUZWE.

Lissu asingekwenda kumpigia kura Mwabukusi na kulinda kura yake, tusingekuwa tunafurahia Leo ushindi wa Nabii Mwabukusi.
Chaguzi za kihuni wataendelea kushiriki makondoo.
 
Back
Top Bottom