Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Kama kashindwa maana yake mkuu wake (namba moja) ndo kashindwaWe mpuuzi nini? huoni kashindwa kusimamia mali za umma! nani mtendaji mkuu wa serikali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kashindwa maana yake mkuu wake (namba moja) ndo kashindwaWe mpuuzi nini? huoni kashindwa kusimamia mali za umma! nani mtendaji mkuu wa serikali?
Ndiyo wote waondokeKama kashindwa maana yake mkuu wake (namba moja) ndo kashindwa
Wa Singida na MbeyaKwani Nape ni wa wapi!?
Penye us juzi hapoKupitizia thread kama hizi mnazidi kumtia pressure mzee wa watu. Mtafanya mpaka superblack idunde, mvi zionekane.
Kama ana kamati yake ya ufundi wa jadi itakuwa inapiga pesa ndefu kwa sasa, keshatumwa mpaka ushuzi wa mwanamke bikra mwenye watoto mapacha .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndio aongeze speed ya kupiga nyanga na kucheza na tunguri sasa ili apate 'ulisi' wa kumuachia mwanae.
Maja is there to stay. Ungeniambia tuiondoe Serikali yote madarakani ningekuelewa.Yeye ndiye muhusika, halafu atowe taarifa wapi tena?
Watoa taarifa wapo chadomo, ACT na kina hashim. Wanatosha kutowa taarifam yeye anatakiwa awe na votendo zaidi.
Mpaka sasa anachezewa na watoto wadogo akina makonda na biyeko, ina maana kashindwa kabisa, awachie ngai tu.
Niliwahi kuandika hivi:
Sijui kwanini, nahisi kama Kassim Majaliwa Majaliwa atang'olewa Uwaziri Mkuu kabla ya 2025
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake. Hata hivi sasa...www.jamiiforums.com
Jiheshimu,Msimamo wa uchaguzi 2025 kukiwa na Tume huru ya uchaguzi ndio kutamfanya Samia ajue Rungu ni nani na alipatwa na nini kwenye uchaguzi Zambia.
Atakutana na ubao ukisema;
*Mgombea ACT Wazalendo: 4.8%
*mgombea NCCR 2.08%
*Mgombea CCM 39.8%
*Mgombea Chadema 52.01%
*Wengineo wote 2.2%.
Maja is there to stay.Kwani yeye ana Hati miliki ya kuwa PM Hadi asitolewe?
Mbona wafuasi wake hamjiamini? Ndio kawatuma?
Ukipwaya unapigwa chini
Kwanini usiseme ccmTeuzi ya Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, teuzi ya Makonda kuwa msemaji wa CCM na blah blah za wabunge kuicharukia serikali ni mpango kamili na kabambe katika kutengeneza njia ya kumng'oa Kassim Majaliwa kwenye nafasi ya waziri mkuu. Kila kitu kwa 100% kimepangwa na kinachoendelea ni utelekezaji tu. Ni ama aachie ngazi kabla ya mwaka huu kwisha au wakati wowote mwakani.
Hakuna kipya au kitu cha ajabu, aliyebakia na asiyetakiwa ni Majaliwa tu. Magufuli alishatolewa, Ndugai alishatolewa, Lukuvi alishatolewa, Kabudi alishatolewa, Bashiru alishatolewa nk. hakuna kilichobakia wote wameshakwenda, bado Majaliwa tu, na safari yake ya kutolewa kwa 90% imeshaiva, ajiandae kukaa benchi.
Magu ilikua ampige Chini ila naona huyu bibi ndio hamtaki kabisa.
Sio takwa la Rais ,nikatiba ndio inayotambua hivyo vyeo,Ningekua rais ningefuta vyeo vingine vyote sijui waziri mkuu,makamu wa raisi,dc,das,Ras vyote futilia mbali, mawaziri wangekua 20 tu na hao hao wangekua wabunge,,, hizo hela zingeenda kufanya maendeleo mingine sio kujaza watu hata wanavyofanya havionekani,,
Duh...!Hakuna kipya au kitu cha ajabu, aliyebakia na asiyetakiwa ni Majaliwa tu. Magufuli alishatolewa, Ndugai alishatolewa, Lukuvi alishatolewa, Kabudi alishatolewa, Bashiru alishatolewa nk. hakuna kilichobakia wote wameshakwenda, bado Majaliwa tu, na safari yake ya kutolewa kwa 90% imeshaiva, ajiandae kukaa benchi.