Asiyetakiwa ni Waziri Mkuu Majaliwa, kila kitu kimepangwa, ajiandae kuachia ngazi

Asiyetakiwa ni Waziri Mkuu Majaliwa, kila kitu kimepangwa, ajiandae kuachia ngazi

Hii inasaidia nini wakati yeyote watakayemuweka atashinda tu kwa katiba na tume iliyopo??
hawekwi yeyote ilimradi watamsaidia ashinde.

anawekwa mtu ambae akisaidiwa anasaidika, sawa JPM walimptsha kibabe ila unaona yaliyokuja tokea Mwamba alibebwa akabebeka akajibeba.

sio tu kisa utapitishwa ndio uwe kilaza, sio kwa ccm hiii
 
Teuzi ya Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, teuzi ya Makonda kuwa msemaji wa CCM na blah blah za wabunge kuicharukia serikali ni mpango kamili na kabambe katika kutengeneza njia ya kumng'oa Kassim Majaliwa kwenye nafasi ya waziri mkuu. Kila kitu kwa 100% kimepangwa na kinachoendelea ni utelekezaji tu. Ni ama aachie ngazi kabla ya mwaka huu kwisha au wakati wowote mwakani.

Hakuna kipya au kitu cha ajabu, aliyebakia na asiyetakiwa ni Majaliwa tu. Magufuli alishatolewa, Ndugai alishatolewa, Lukuvi alishatolewa, Kabudi alishatolewa, Bashiru alishatolewa nk. hakuna kilichobakia wote wameshakwenda, bado Majaliwa tu, na safari yake ya kutolewa kwa 90% imeshaiva, ajiandae kukaa benchi.
Kwani yeye ana Hati miliki ya kuwa PM Hadi asitolewe?

Mbona wafuasi wake hamjiamini? Ndio kawatuma?

Ukipwaya unapigwa chini
 
Wewe amini unavyoamini, labda una habari ambazo hazikuwepo bungeni. Bungeni tuliona ripoti ya Mwakyembe ndiyo ilimfanya aachie ngazi.

Sasa hii leo ni ripoti ya CAG, hakuna halamshauri ambayo haina dosari, kwa miaka yote yeye ndiye mkuu wa halmashauri zote. Kassim anangoja nini?
Katelephone Hana mamlaka ya kutumbua hawamu hii. Mwenye mamlaka kakaa Kimya. Ni kama enzi za JK tu. Kutumbua mtu ni ishu kama sio yeye kaamua
 
Akifanikiwa kumungoa tu, kitakachofuata ni zamu yake na yeye kungolewa ili na yeye ayapate machungu ya kuwangoa wenzake...
kitendo cha kumg'oa Majaliwa kitatIkisa ccm na nchi huyu bwana utendaji wake umekwishakubalika kuliko kiongozi yeyote na wananchi. He is a fighter ila mazingira ndiyo yanayomlemea
 
Teuzi ya Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, teuzi ya Makonda kuwa msemaji wa CCM na blah blah za wabunge kuicharukia serikali ni mpango kamili na kabambe katika kutengeneza njia ya kumng'oa Kassim Majaliwa kwenye nafasi ya waziri mkuu. Kila kitu kwa 100% kimepangwa na kinachoendelea ni utelekezaji tu. Ni ama aachie ngazi kabla ya mwaka huu kwisha au wakati wowote mwakani.

Hakuna kipya au kitu cha ajabu, aliyebakia na asiyetakiwa ni Majaliwa tu. Magufuli alishatolewa, Ndugai alishatolewa, Lukuvi alishatolewa, Kabudi alishatolewa, Bashiru alishatolewa nk. hakuna kilichobakia wote wameshakwenda, bado Majaliwa tu, na safari yake ya kutolewa kwa 90% imeshaiva, ajiandae kukaa benchi.
Acha wamtengenezee ajali maana nae kazidi uking'ang'anizi
 
Teuzi ya Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, teuzi ya Makonda kuwa msemaji wa CCM na blah blah za wabunge kuicharukia serikali ni mpango kamili na kabambe katika kutengeneza njia ya kumng'oa Kassim Majaliwa kwenye nafasi ya waziri mkuu. Kila kitu kwa 100% kimepangwa na kinachoendelea ni utelekezaji tu. Ni ama aachie ngazi kabla ya mwaka huu kwisha au wakati wowote mwakani.

Hakuna kipya au kitu cha ajabu, aliyebakia na asiyetakiwa ni Majaliwa tu. Magufuli alishatolewa, Ndugai alishatolewa, Lukuvi alishatolewa, Kabudi alishatolewa, Bashiru alishatolewa nk. hakuna kilichobakia wote wameshakwenda, bado Majaliwa tu, na safari yake ya kutolewa kwa 90% imeshaiva, ajiandae kukaa benchi.
HV huyu mzee Ana shida gani ,HV ccm inawazaga nin


Ni hvi majaliwa baki hadi 2025 alfu chukuwa fomu kupambna. Na yoyote aliyembele yako
 
Back
Top Bottom