Askari aliyempiga picha "Binti" amevunja maadili ya kazi yake, ashtakiwe!

Askari aliyempiga picha "Binti" amevunja maadili ya kazi yake, ashtakiwe!

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Mwaka juzi kuliwahi kuibuka "upuuzi" wa Askari kukamata Watu/Watuhumiwa na kuwavalisha mabango yenye "tuhuma" Kisha kuwapiga picha na kusambaza mtandaoni.

Leo hii Binti mdogo aliyejirekodi mambo yasiyo ya staha, amekamatwa na kupelekwa kituoni, akiwa kituoni Tena ofisini kabisa, anapigwa picha na zinasambazwa!

Hii Sio haki na Sio sahihi kabisa... naweka picha yenyewe kama ushahidi

IMG_20211230_090401.jpg
 
Mwaka juzi kuliwahi kuibuka "upuuzi" wa Askari kukamata Watu/Watuhumiwa na kuwavalisha mabango yenye "tuhuma" Kisha kuwapiga picha na kusambaza mtandaoni.

Leo hii Binti mdogo aliyejirekodi mambo yasiyo ya staha, amekamatwa na kupelekwa kituoni, akiwa kituoni Tena ofisini kabisa, anapigwa picha na zinasambazwa!

Hii Sio haki na Sio sahihi kabisa... naweka picha yenyewe kama ushahidi

View attachment 2062361
Huyu ndo wachupa au?
 
Sasa unamziba uso wakati maada Kama yako ishaanzishwa na watu tumeona picha live..itafute hio maada kaanzisha Beatrice muhaya.... inawezekana ikawa NI kosa Ila nyie Kama wanasheria wasomi malizaneni naye huko huyo Askari sisi huku tunashangalia video na picha zake hatuwezi kumuonea huruma atajua mwenyewe.
 
Sasa unamziba uso wakati maada Kama yako ishaanzishwa na watu tumeona picha live..itafute hio maada kaanzisha Beatrice muhaya.... inawezekana ikawa NI kosa Ila nyie Kama wanasheria wasomi malizaneni naye huko sisi huku tunashangalia video na picha zake hatuwezi kumuonea huruma atajua mwenyewe.
Kwani huyu mdada ndiye wa chupa au kuna kingine juu yake?
 
Sasa unamziba uso wakati maada Kama yako ishaanzishwa na watu tumeona picha live..itafute hio maada kaanzisha Beatrice muhaya.... inawezekana ikawa NI kosa Ila nyie Kama wanasheria wasomi malizaneni naye huko sisi huku tunashangalia video na picha zake hatuwezi kumuonea huruma atajua mwenyewe.

Mkuu kama unayo connection yake nitumie pm nithibitishe kama ana makosa kisheria
 
Back
Top Bottom