Cheo kinapopewa kwa mtu ambae sio muadilifu huwa ni janga kwa wananchi.
Baadhi (sio wote) ya ma askari hutumia cheo hiki kunyanyasa raia, mfano anaweza kukupora mali yako, anaweza kukataa kukurudishia ulichomkopa, anaweza kukupiga, n.k.
Ukijaribu kujitetea kwa askar ambae sio muadilifu kitendo hiki kinampa hasira na kukukomoa kwa kukushushia kipigo, kukubambikia madawa ya kulevya, anaweza kukuua kabisa kwa kusingizia wewe gaidi, n.k.
Inakuwa ngumu mtu kujitetea hasa ukiangalia ana familia inayomtegemea, akienda hata lokapu siku 2 tu familia inadhhofika, sasa akienda jela vipi?
Sasa ni vipi tunaweza kujilinda?
Hii ni video ya mda kidogo ila ni mfano wa uonezi ambao bado upo,
Kuna Jamaa yangu mmoja alikataa kuonewa akaamua kupimana nguvu na Popoo, Jamaa alikuwa vizuri alimtandika Afande za kutosha sema wenzake wakaja fasta wakaanza kumchangia Jamaa kisha wakamsweka ndani na vitisho vya kufa Mtu..
Ni bahati tu Jamaa alikuwa ana connection huko juu na alikuwa Mtu mwenye umate mate, ingawa walihakikisha analala ndani ila siku inayofuata akatoka.
Ila ni risk maana wakikuweka kwenye 18 yao wote wanakuwa dhidi yako utakoma.
Kuna Jamaa yangu mmoja alikataa kuonewa walipimana nguvu na Popoo, Jamaa alikuwa vizuri alimtandika za kutosha sema wenzake wakaja fasta Jamaa wakamchangia na wakamsweka ndani.
Ni bahati tu Jamaa alikuwa ana connection huko juu, ingawa walihakikisha analala ndani siku inayofuata ndio akatoka.
Ila ni risk maana wakikuweka kwenye 18 yao wote wanakuwa dhidi yako utakoma.