sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Cheo kinapopewa kwa mtu ambae sio muadilifu huwa ni janga kwa wananchi.
Baadhi (sio wote) ya ma askari hutumia cheo hiki kunyanyasa raia, mfano anaweza kukupora mali yako, anaweza kukataa kukurudishia ulichomkopa, anaweza kukupiga, n.k.
Ukijaribu kujitetea kwa askar ambae sio muadilifu kitendo hiki kinampa hasira na kukukomoa kwa kukushushia kipigo, kukubambikia madawa ya kulevya, anaweza kukuua kabisa kwa kusingizia wewe gaidi, n.k.
Inakuwa ngumu mtu kujitetea hasa ukiangalia ana familia inayomtegemea, akienda hata lokapu siku 2 tu familia inadhhofika, sasa akienda jela vipi?
Sasa ni vipi tunaweza kujilinda?
Hii ni video ya mda kidogo ila ni mfano wa uonezi ambao bado upo,
Video hii ni ya tukio la mwaka 2016
Baadhi (sio wote) ya ma askari hutumia cheo hiki kunyanyasa raia, mfano anaweza kukupora mali yako, anaweza kukataa kukurudishia ulichomkopa, anaweza kukupiga, n.k.
Ukijaribu kujitetea kwa askar ambae sio muadilifu kitendo hiki kinampa hasira na kukukomoa kwa kukushushia kipigo, kukubambikia madawa ya kulevya, anaweza kukuua kabisa kwa kusingizia wewe gaidi, n.k.
Inakuwa ngumu mtu kujitetea hasa ukiangalia ana familia inayomtegemea, akienda hata lokapu siku 2 tu familia inadhhofika, sasa akienda jela vipi?
Sasa ni vipi tunaweza kujilinda?
Hii ni video ya mda kidogo ila ni mfano wa uonezi ambao bado upo,
Video hii ni ya tukio la mwaka 2016