Askari anayedaiwa kutembea na kete za bangi kubambikia watu

Askari anayedaiwa kutembea na kete za bangi kubambikia watu

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Karibu kila Kijana Tanzania ana historia mbaya na chafu na askari wetu. Huyu alichukuliwa clip bila kujijua baada ya kumbambikia mtu kete za bange na kudai rushwa ya 2 mil na walipewa laki 6 wakamuachia mtuhumiwa.

Mkasa kama unavyosimuliwa na mhanga Emmanuel Mwita

Jana usiku maaskari wa Oysterbay bila Uniform na mmoja akiwa kavaa uniform huku akiwa amevaa sweta juu (pichani chini) walinivamia kwenye gari wakasema nina bangi.Baada ya mabishano wakanipeleka nyuma ya kituo cha Oysterbay wakaniwekea kete 14 kwenye dashboard na kisha

Kunilazimisha niwape milioni 2 ili mambo yaishe. Nilipokataa wakaniweka ndani hadi mdada niliekuwa nae alipowapa laki 6 ndio wakaniachia bila sharti lolote. Nataka kusema ule ni uonevu mkubwa na ujambazi mnafanyia raia.

Ninawatambua askari wote waliohusika na ningependa haki itendeke,Niliwaomba wanifungulie kesi na kunipeleka mahakamani wakagoma na zaidi walinipiga na kunilazimisha nisizungumze Baada ya kupewa pesa na kuniachia waliniomba yaishe na tusameheani kwani walikasilishwa na mdomo wangu

Waliniteka maeneo ya Coco beach (WAVUVI KEMPU) majira ya saa nane usiku. Hata hivyo sitoshangaa kama tanpol hamtochukua hatua. Natarajia kwenda kwenye ofisi za afande Jumanne Mlilo ambaye nilimpigia simu bila mafanikio kesho majira ya saa nne asubuhi kutoa malalamiko yangu.

Msigwa Gerson nilikupigia simu kwa namba (0717 214 838) bila mafanikio. Waziri Mkuu
Askari wako wanaonea raia. Kweli nimeamini jeshi letu linabambikia watu kesi na kutisha watu wake na kuteka watu wake.

Ajabu ni kwamba waliziweka(Bangi) wao na mwisho wa siku walizichukua ili wakamfanyie mwingine mambo hayo. Hii kitu tusipoikemea itawaumiza wengi.
 
huyo ni tapeli anayetumia jeshi la polisi kufanya huo ujinga.

Ifike mahali sasa serikali itambulishe chombo mahalumu ambacho kitakuwa kinaoversees hivi vyombo vya ulinzi na usalama kama havitendi haki watu wakatoe ripoti huko ili na wao washughulikiwe ipasavyo..
 
huyo ni tapeli anayetumia jeshi la polisi kufanya huo ujinga..
ifike mahali sasa serikali itambulishe chombo mahalumu ambacho kitakuwa kinaoversees hivi vyombo vya ulinzi na usalama kama havitendi haki watu wakatoe ripoti huko ili na wao washughulikiwe ipasavyo..
Niliwah dakwa na polisi upangq niko na Mshkaji wangu Muhindi, eti kisa tumekaa kwenye geti la yule muhind muda mrefu.

Jamaa wapo wawili na Noah, wamekagua vya kutosha, wamekosa vya kunikamata, wakapeleka gari kituoni... muhindi kaniambia nimalizane nao kwa kuwapa hela.

Nikawapa hela ila nikasema hii nchi inaendeshwa na wafanyakaz wapumbavu sana... sijui wana apa ili iweje..

Ila mwisho wa siku akaniambia you can't win with these folks by logic....

Imenitokea and i can testify.. these folks are criminals in police uniforms
 
Niliwah dakwa na polisi upangq niko na Mshkaji wangu Muhindi, eti kisa tumekaa kwenye geti la yule muhind muda mrefu.

Jamaa wapo wawili na Noah, wamekagua vya kutosha, wamekosa vya kunikamata, wakapeleka gari kituoni... muhindi kaniambia nimalizane nao kwa kuwapa hela...
Miaka ya nyuma, dogo mmoja alienda kuripoti tukio la wizi lililofanyika kwenye "site" aliyoachiwa kuitunza. Aliyeenda kuripoti akaishia kuwekwa ndani. Ilibidi waliomsindikiza kituoni wamhonge Polisi, tena wa kike, sh 5,000/= ndiyo akaachiwa.

Mtu ameenda kulalamika, halafu anaishia kuwekwa ndani? Maajabu!
 
Karibu kila Kijana Tanzania ana historia mbaya na chafu na askari wetu. Huyu alichukuliwa clip bila kujijua baada ya kumbambikia mtu kete za bange na kudai rushwa ya 2 mil na walipewa laki 6 wakamuachia mtuhumiwa.
View attachment 2670145
Mkasa kama unavyosimuliwa na mhanga Emmanuel Mwita

Jana usiku maaskari wa Oysterbay bila Uniform na mmoja akiwa kavaa uniform huku akiwa amevaa sweta juu (pichani chini) walinivamia kwenye gari wakasema nina bangi.Baada ya mabishano wakanipeleka nyuma ya kituo cha Oysterbay wakaniwekea kete 14 kwenye dashboard na kisha

Kunilazimisha niwape milioni 2 ili mambo yaishe. Nilipokataa wakaniweka ndani hadi mdada niliekuwa nae alipowapa laki 6 ndio wakaniachia bila sharti lolote. Nataka kusema ule ni uonevu mkubwa na ujambazi mnafanyia raia.

Ninawatambua askari wote waliohusika na ningependa haki itendeke,Niliwaomba wanifungulie kesi na kunipeleka mahakamani wakagoma na zaidi walinipiga na kunilazimisha nisizungumze Baada ya kupewa pesa na kuniachia waliniomba yaishe na tusameheani kwani walikasilishwa na mdomo wangu

Waliniteka maeneo ya Coco beach (WAVUVI KEMPU) majira ya saa nane usiku. Hata hivyo sitoshangaa kama tanpol hamtochukua hatua. Natarajia kwenda kwenye ofisi za afande Jumanne Mlilo ambaye nilimpigia simu bila mafanikio kesho majira ya saa nne asubuhi kutoa malalamiko yangu.

Msigwa Gerson nilikupigia simu kwa namba (0717 214 838) bila mafanikio. Waziri Mkuu
Askari wako wanaonea raia. Kweli nimeamini jeshi letu linabambikia watu kesi na kutisha watu wake na kuteka watu wake.

Ajabu ni kwamba waliziweka(Bangi) wao na mwisho wa siku walizichukua ili wakamfanyie mwingine mambo hayo. Hii kitu tusipoikemea itawaumiza wengi.

Mpaka limekukuta Ndio unajua kwamba Askari wanatabia ya kubambikizia watu makosa pole yako
 
Nasema hivi,kama kuna bijana wanatamani kuingia upolice najua sasababu ya njaa,ila hapafai kabisaa.

Bora wametaka tu hiyo hela mzee,police hawafai ,nasema tena hawafai.
 
kuna mdau mwengine hapa

 
Walikuonesha Vitambulisho? Asa unatoaje pesa bila maandishi yoyote?
 
huyo ni tapeli anayetumia jeshi la polisi kufanya huo ujinga..
ifike mahali sasa serikali itambulishe chombo mahalumu ambacho kitakuwa kinaoversees hivi vyombo vya ulinzi na usalama kama havitendi haki watu wakatoe ripoti huko ili na wao washughulikiwe ipasavyo..
Kweli kabisa
 
huyo ni tapeli anayetumia jeshi la polisi kufanya huo ujinga..
ifike mahali sasa serikali itambulishe chombo mahalumu ambacho kitakuwa kinaoversees hivi vyombo vya ulinzi na usalama kama havitendi haki watu wakatoe ripoti huko ili na wao washughulikiwe ipasavyo..
Police wengi wa tanzania ndy zao,,

Especially wakikuvamia nyumbani Ni lazima wakuwekee kidhibiti.


Jeshi letu lijiangalie na lijitafakari
 
Back
Top Bottom