Namwomba sana Mungu tena hadi nimeandika wosia ili kama nitakufa mapema katika watoto asije tokea hata mmoja kuwa Askari wa Jeshi la polisi hapa Tz.
Najua wapo Askari waadilifu Ila hapana aisee, polisi hata nimkute amekatwa mguu anahitaji wa kumsogexa nitakimbia mno.
Acha niishie hapa