Askari anayetuhumiwa kuingiliwa asomewa mashtaka, akana sio yeye kwenye video

Sasa akienda gerezani si ndio atakuwa chakula cha camp.
 
Bado sijaelewa kwanini mtuhumiwa kashakamtwa
na ushahidi upo hapo mahakamani anajibu Nini tena.

Sweka ndani Vidume vukamtumie.
 
Kosa la maudhi makubwa ya ngono lipo kwenye penal code?
Nadhani lipo! Hawawezi kukufungulia charge bila kuchungulia penal code! The same yule askari wa jwtz aliyekuwa na Nissan na kumsukuma nayo yule traffic,kwa kukataa kusimama,walichungulia penal code,wakamfungulia mjeda charge ya kukataa amri halali,kosa ambalo anaweza kufungwa miaka miwili jela, simply kibarua kinaweza kuota nyasi kwake kwa kutokutumia akili na uaskari wa kizamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…