Askari anayetuhumiwa kuingiliwa asomewa mashtaka, akana sio yeye kwenye video

Askari anayetuhumiwa kuingiliwa asomewa mashtaka, akana sio yeye kwenye video

Safi kabisa na basha wake wangemkamata pia
Hapa ndipo ukiwaza kwa akili kubwa utaona ni kama wenye mamlaka hawapo serious na hili jambo.

Maana wakisema hawamjui (kama ktk video sura yake haikuonekana) yupo mfanywaji ambaye tayari wanaye so ilibidi huyu wambane awaonyeshe aliyekuwa anamfanya nae ahukumiwe ili washenzi wengine wajifunze.
 
Shukuru kutokuiona ni kujitia dhambi tu!

Mwenyewe sikuiona japo ningeitaka nisingeikosa mimi nilitumia lugha ya picha jukwaani kama hivi nikajua alichokuwa anafanywa ikatosha.
Hata mimi nimebak na lugha ya picha tu,maana walioiona wamesema mengi sana
 
I
o Anaonekana mzoefu mpaka ameamua kujirekodi maana yake amekubuhu.
Inasikitisha sana! kwaile video Keshakuwa addicted yule !!
Inasemekana alikua analawiti watoto wa watu,wenye watoto wakamuahidi 'utaona'..ilikua akishtakiwa anapanda kizimbani na uniform zake,watu wakatumia teknolojia na Sasa jela inamuita
 
Hawa watu, huko gerezani ndiyo anaenda kuwa mke wa mtu/watu.
Aliyekuwa anamfanyia hiko kitendo, kwanini na yeye hashtakiwi?
Ilitakiwa iwe kama rushwa, mtoa na mpokea wote ndani.
Kosa nikupelekewa moto nasio kupeleka moto
 
Back
Top Bottom