Sijui mm sijawahi hata kwenda kusalimia mfungwa so hayo maeneo huwa nayaona kama mochwari tu sipendi hata kupita karibu nayo. Wasubiri nikiwa mharifu ndo wanipeleke kama mochwari wasubiri nikifa wanipeleke. Ila jela ina jinsia 2 ke na me we kama bwabwa unapelekwa kwa me usiku jamaa watabadilishana kama kujifunza baiskeli vile mtu anaendesha paka paleee na kurudi mmejipanga mstari akitoka huyu anaingia mwingine. Mpaka miaka 30 atakuwa na ngozi lain kama wa mwanamke maana zile vitu huwa zinalainisha ngozi