Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Hadi tumbo linnauma nikimuwaza yule afandeAfu a na mke pc kweli tena ana wake 2 kumbe na yeye mke wa mtu
Sasa amewaoa wa nn kama sio kuwatesa wanawake wa watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi tumbo linnauma nikimuwaza yule afandeAfu a na mke pc kweli tena ana wake 2 kumbe na yeye mke wa mtu
Imagine naye afunge🤣Sikupanga kucheka 🤣🤣🤣
Sasa partner alimfanya yuko wapiALIYEKUWA Askari Polisi FFU, Ramadhani Hassan Ali maarufu Afande Rama, amefikishwa katika Mahakama ya Mkoa wa Vuga, kujibu mashtaka mawili yanayomkabili.
Mbele ya Hakimu Khamis Ali Simai, Mwendesha Mashtaka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar, Muhammed Saleh, alidai mahakamani kuwa mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka mawili ambayo ni kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile na kufanya maudhi makubwa ya kingono.
Alidai kuwa mshtakiwa alitenda makosa hayo mapema Machi mwaka huu, kitendo ambacho ni kosa kwa mujibu wa Sheria za Zanzibar.
Mshtakiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza akitokea mahabusu ya polisi bila ya wakili wa kumsimamia.
Shtaka hilo limeahirishwa hadi Aprili 4, mwaka huu na mshtakiwa amepelekwa mahabusu huku upande wa mashtaka ukidai unaendelea na upelelezi.
Ilidaiwa kuwa askari huyo alijihusisha na mapenzi ya jinsia moja kwa kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile huku video fupi inayoonesha tukio hilo ikisambaa mtandaoni.
Hivi karibuni, Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Hamad Khamis Hamad, alisema askari huyo alishapandishwa kwenye mahakama ya kijeshi kutokana na tuhuma hizo ambazo ni kinyume na mwongozo na kanuni za kiutendaji wa jeshi hilo (PGO).
NIPASHE
😆😆🤣kufanya maudhi makubwa ya kingono.
Wake zake wali react vipi hii habari ilipowafikia ?Afu a na mke pc kweli tena ana wake 2 kumbe na yeye mke wa mtu
Kama KyelaMkoa wa Mbeya una kesi nyingi sana mpaka inashangaza..ulawiti na kubaka..
Kyela inashangaza wanawake wao hawakatai ni mwiko ila kubaka kupo juu mno..
Ni shida aisee ila kwa sababu ndio mfumo wa hukumu huo,hakuna namnaNa tumechefukwa kweli aisee hivi kweli mwanamume anaingiliwa mlango wa nyuma huku jicho anarembua tena kavaa shanga na kikuku na anaguna kabisa invyopenya.
Hivi mkuu kwa kesi kama hii mahakama ya nini? Ni kumtupa ndani akawe mwali kwa wahuni
Nliitumiwa hii video nliangalia sikuimaliza bikaifuta huku nliiomba mwenyewe nitumiwe, jamaa akaniuliza unauhakika unaitaka video nikamwambia yes. Hata sikuimalizaHadi tumbo linnauma nikimuwaza yule afande
Sasa amewaoa wa nn kama sio kuwatesa wanawake wa watu
Wakimfunga sijui watamweka gereza la akinamama ama la wanaume. Yule anasimamisha wakimweka la wanawake atatoka magoti hayatembei, wakimweka la wanaume ndo itakuwa kama asusaHadi tumbo linnauma nikimuwaza yule afande
Sasa amewaoa wa nn kama sio kuwatesa wanawake wa watu
Uzuri wanawake wa kiislam wana adabu sana walishukuru mungu tu wala hawakumtolea maneno machafu mume waoWake zake wali react vipi hii habari ilipowafikia ?
Jaman na ww una maneno🙆♂️Wakimfunga sijui watamweka gereza la akinamama ama la wanaume. Yule anasimamisha wakimweka la wanawake atatoka magoti hayatembei, wakimweka la wanaume ndo itakuwa kama asusa