Kwanini wajue kwamba lazima angefanya vurugu?!Swali: Hao maofisa kabla ya kwenda walijua kabisa kuwa ni lazima Mosha atafanya vurugu, na kuwasukuma sukuma hivyo watapata muda wa kumwekea kitu mfukoni wakati wa vurugu?
Jamaa amem frisk kiaina kuchek kama ana concealed weapon ni standard procedure unapo deal na mtu anaye weza kuwa armed and violent
Alivaa modo ngumu kuwekewa kitu teh teh
Ova
Kwa Hiyo hata Mosha mwenyewe hawezi kuweka kitu mfukoni mwake?
Yaani akitaka kuweka Simu, funguo ya gari, pesa etc atashindwa?
Mleta sredi mzushi
Hoja sio kama alifanikiwa kuweka au hapana bali hoja ni dhamira ya huyo jamaa!! Hoja yako ni sahihi, kutokana na suruali ya Mosha kubana, inawezekana zoezi lilishindikana lakini je, si inaonesha alikuwa na hiyo nia?
Angalia vzr ni kweli huyo jamaa katoa kitu mfukoni mwake akamuwekea Davis kisha akamsukuma.
Ukiangalia kwa makini huyo mwenye shati la kijivu ametoa kitu mfukoni kwake akamsogelea Davis Mosha (Akajiweka upande kwa upande au kwa kiingereza "side by side" Kwa mkono wa kulia ambao aliufunga/aliukunja alipoutoa mfukoni mwake akaingiza kwenye mfuko wa suruali wa kushoto wa suruali wa Davis Mosha wakati huo akitumia mkono wa kushoto kumsukuma Mosha. Ukiangalia kwa makini mkono wa kulia wa huyo "askari"baada ya kuuingiza mfukoni kwa Davis Mosha akautoa ukiwa hauna kitu (Tofauti na mwanzo) halafu akatumia mikono yake miwili kumsukuma Mosha. Angalia kwa makini alichokuwa akifanya...kuwa "Detail oriented" Suruali kubana siyo tatizo kwa sababu si lazima alichowekewa siyo lazima kiwe kikubwa pia kumbuka hiyo suruali Davis Mosha anatumia hiyo mifuko ya suruali aidha kuwekea walet au inatosha pia kuweka mikono yake, hivyo suruali kubana siyo tija. Hapo yeyote mwenye macho na akili timamu anaona kilichotokea. Hapo ni simply kubambikiza....Hiyo system ya kubambikiza siyo ngeni hapa Tanzania hao polisi uchwara na polisi wa kawaida ni kitu wanachofanya siku zote. LINI HUU UONEVU UTAKWISHA?
hahahaahaa nimecheka..eti local library of BrooklynDavis aliingia kichwa kichwa baada ya kukutana na mtaalamu wa social media networks. Aliinvest hela nyingi kuanzisha Swahili TV. Baada ya Mitambo kufika ndipo alipogundua mtaalamu aligraduate kutoka local library of Brooklyn.
Hoja yako hasa nini? Tayari nimeshatoa maelezo kama third part lakini naona unataka nitoe maelezo kama miongoni mwa waliokuwa kwenye tukio! Huwezi kuniuliza ikiwa hao maofisa walijua kabisa kwamba Davis Mosha angefanya vurugu wakati mimi sio miongoni mwa hao maofisa!Swali: Hao maofisa kabla ya kwenda walijua kabisa kuwa ni lazima Mosha atafanya vurugu, na kuwasukuma sukuma hivyo watapata muda wa kumwekea kitu mfukoni wakati wa vurugu?
Hizo mbinu walisoma zamani kabla ya tekinolojia na wao wanaendelea kuzitumia ka kukariri bila kujua teknolojia inawaumbua, kwa mwendo huo kamwe hatutafika maana ni full mawazo mgando
Ila alikua na nia ya kumwekea kitu mfukoni , usibisheNimeangalia Mara 17 but sijaelewa. Suruali ya mosha imembana saaana kuwekewa kitu so jambo rahisi
Tuuzien gazet hilo kivp anahusika jamenKwani le mutuz le jiababu anahusika?
Ilikuwaje kwan na swahili tv, tupo nyuma nyuma kama kotiUnganisha dots kutoka Swahili TV