Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu ndogoNimeshangaa huyo askari anajitangaza kama ni ufahari vile wakati kafanya kosa la jinai.
Na kumtoa qafra ndugu yetu TembaWaambie wamkamate na Kigwangala alimgonga Twiga kule Babati Mdori.
Pumbavu wewe ni jeshi ndio limeingilia mfumo wa asili wa chatu,hawa wangekua nchi fulani hapo chini ya mipaka yetu leo wangekua na kesi ya kujibu,wanyama na binadamu inatakiwa tuishi kwa pamoja na sisi binadamu tutambue kuwa wanyama they have a right of the way,ukifika pale Kasane Botswana utafurahi kuona tembo wanakatiza mitaa ya mjini !bila kusahau swala,nguruwe mwitu,mbwa wa kufugwa na sisi binadamuNyoka aliingia eneo la jeshi
Si akakae nao nyumbani kwake?Nakumbuka mwaka 2020 aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla alimtuhumu aliyekuwa Meya wa Iringa kuwa ametenda kosa la ujangili baada ya kupakia picha kwenye mtandao wa
Yule yupo mazoezini pale so hawezi shtakiwaNakumbuka mwaka 2020 aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla alimtuhumu aliyekuwa Meya wa Iringa kuwa ametenda kosa la ujangili baada ya kupakia picha kwenye mtandao wa Twitter akiwa amemuua nyoka aina ya chatu. Zaidi soma Dtk. Kigwangalla amtuhumu Alex Kimbe kwa ujangili baada ya kuua chatu
Leo nimekutana na video ikimuonesha Askari wa JWTZ akiwa anajinadi kwa kumuua nyoka mkubwa aina ya chatu. Ukimsikiliza vizuri utagundua kwamba nyoka huyo hakuwa katika mazingira ya kuleta madhara yoyote kwa binadamu, ni kwamba alikuwa katika mazingira yake ya maisha ya kila siku. Kitendo cha Askari huyo kumuua bila sababu za msingi si kitu cha kufumbia macho.
Nyoka mkubwa kama yule anachukua muda mrefu kufikia ukubwa ule, na pia anapitia katika mazingira hatari tokea kuanguliwa ikiwa pamoja na kuwindwa na wanyama wengine hatari. Anapoweza kukabiliana na hatari zote mpaka kufikia ukubwa ule ni suala la kushukuru.
Huyu Askari angetumia busara hata kuwaita maafisa wanyama pori waje kumchukua, mnyama kama huyu ni kivutio kikubwa sana cha utalii, anaweza akaleta mapato makubwa sana akiwekwa kwa snake park
Nakumbuka mwaka 2020 aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla alimtuhumu aliyekuwa Meya wa Iringa kuwa ametenda kosa la ujangili baada ya kupakia picha kwenye mtandao wa Twitter akiwa amemuua nyoka aina ya chatu. Zaidi soma Dtk. Kigwangalla amtuhumu Alex Kimbe kwa ujangili baada ya kuua chatu
Leo nimekutana na video ikimuonesha Askari wa JWTZ akiwa anajinadi kwa kumuua nyoka mkubwa aina ya chatu. Ukimsikiliza vizuri utagundua kwamba nyoka huyo hakuwa katika mazingira ya kuleta madhara yoyote kwa binadamu, ni kwamba alikuwa katika mazingira yake ya maisha ya kila siku. Kitendo cha Askari huyo kumuua bila sababu za msingi si kitu cha kufumbia macho.
Nyoka mkubwa kama yule anachukua muda mrefu kufikia ukubwa ule, na pia anapitia katika mazingira hatari tokea kuanguliwa ikiwa pamoja na kuwindwa na wanyama wengine hatari. Anapoweza kukabiliana na hatari zote mpaka kufikia ukubwa ule ni suala la kushukuru.
Huyu Askari angetumia busara hata kuwaita maafisa wanyama pori waje kumchukua, mnyama kama huyu ni kivutio kikubwa sana cha utalii, anaweza akaleta mapato makubwa sana akiwekwa kwa snake park
Watoto wa mama hawajui balaa LA chatu....OK ...wakamchukue Joyce kiria waende wakapiganie haki za chatuHongera askari kwa kufanya kazi iliyotukuka. Wengi hapa wanatoa maoni yao kishabiki sana lakini hawamjui chatu vizuri na umahiri wake kwenye uwindaji tena ukizingatia ukubwa wa huyo chatu ni dhahiri kabisa hata binadamu anamezwa hapo bila wasiwasi. Huyo chatu akifika jirani na makazi ya watu na kukiwa na msitu kidogo basi mtaona tu mbwa, mbuzi na hata badamu wanapotea bila ya nyinyi kujua sababu. Kwa sababu ni mahiri sana kwenye kuwinda na anajua kujificha sana.
Ukiangalia wengi hapa wanaombeza huyo askari ni wale walimuona chatu kwenye ngoma, michezoni au saba saba. Hilo dude lione hivyo hivyo huku mjini lakini ukilikuta porini kwenye mazingira yake ni hatari sana na mbaya zaidi likikosa chakula huwa lina tabia ya kusogea kwenye mapori ya karibu na mazingira ya binadamu kama alivyofanya huyo aliyouliwa. Hapo sasa ndio inabidi muandae daftari la sensa kuhesabu mbuzi, kondoo, mbwa na ngombe waliopotea mkizubaa tu msipojua sababu mtaanza kuhesabu watu waliopotea.
Natafakari huwa hamtoi Povu kiasi hiki kwenye wanyama wengine. Tena wengi tu wanakufa. Leo nyongo imewatoka kisa NYOKA. UNAWEZA KUWA NA ROHO YA KICHAWI na SHETANI Bila kujijuaPumbavu wewe ni jeshi ndio limeingilia mfumo wa asili wa chatu,hawa wangekua nchi fulani hapo chini ya mipaka yetu leo wangekua na kesi ya kujibu,wanyama na binadamu inatakiwa tuishi kwa pamoja na sisi binadamu tutambue kuwa wanyama they have a right of the way,ukifika pale Kasane Botswana utafurahi kuona tembo wanakatiza mitaa ya mjini !bila kusahau swala,nguruwe mwitu,mbwa wa kufugwa na sisi binadamu
Jamaa mwanga uyo au nati zake za oblangata zimelegeaNatafakari huwa hamtoi Povu kiasi hiki kwenye wanyama wengine. Tena wengi tu wanakufa. Leo nyongo imewatoka kisa NYOKA. UNAWEZA KUWA NA ROHO YA KICHAWI na SHETANI Bila kujijua
Unakuta mtu hapa anamzodoa huyo askari wakati yeye nyoka aliyewahi kukutana nae na kupambana naye ni hawa nyoka weusi wanaoingia ndani wakati wa baridi basi. Balaa la chatu lisikie hivyo hivyo na ulione kwenye sinema au mitandaoni tu. Hilo dude kuliua kwa urahisi mara nyingi mpaka ukute bado limeshiba limemeza mnyama siku za karibuni. Kwanza lina nguvu hatari halafu lina akili sana wakati wa uwindaji na lina "timming" hatari mno. Kwa walioishi vijijini huko na kuchunga ngómbe/mbuzi maporini wanajua shughuli yake pevu linapodhamiria kufanya yake..Watoto wa mama hawajui balaa LA chatu....OK ...wakamchukue Joyce kiria waende wakapiganie haki za chatu